kuwasilisha cheti kazini

kuwasilisha cheti kazini

masungajr

Member
Joined
Jul 16, 2015
Posts
13
Reaction score
3
wakuu habarini,

Naomba mwenye kujua utaratibu gani natakiwa nifuate kwa case yangu hii, nimeajiriwa kwa cheti cha diploma lakini kwa sasa nimehitimu degree yangu ya kwanza nahitaji kukiwasilisha cheti kwa mwajiri wangu , je ni utaratibu gani natakiwa nifuate!!!
 
wakuu habarini,

Naomba mwenye kujua utaratibu gani natakiwa nifuate kwa case yangu hii, nimeajiriwa kwa cheti cha diploma lakini kwa sasa nimehitimu degree yangu ya kwanza nahitaji kukiwasilisha cheti kwa mwajiri wangu , je ni utaratibu gani natakiwa nifuate!!!
Mwandikie barua mwajiri wako ukimjilisha umeshahitimu na unawasilisha cheti kwake
NB;UKIHITAJI MSAADA WA JINSI YA KUANDIKA BARUA KARIBU PM
 
Mwandikie barua mwajiri wako ukimjilisha umeshahitimu na unawasilisha cheti kwake
NB;UKIHITAJI MSAADA WA JINSI YA KUANDIKA BARUA KARIBU PM

Pm ya nini au unataka kumlia hela? Muelekeze hapa hapa
 
Kama umeajiriwa katika sekta binafsi pitia kwa meneja rasilimali watu atakupa maelekezo ya kufanya kabla. Kama ni serikalini kuna maafisa utumishi au makatibu watakuambia cha kufanya kutegemea kama mwajiri ni serikali kuu au za mitaa.
 
Back
Top Bottom