Wakulonga
JF-Expert Member
- Oct 29, 2012
- 762
- 771
Habari wana JF,
Kila nikijaribu kudadavua kauli ya Marekani zidi ya RC Makonda wana maana gani, jibu sipati.
Mara najiuliza au kuuwa watu wasio na hatia ndiyo kuwanyima haki ya kuishi. Kama jibu ndiyo hilo, je wale watu waliokufa na wanaoendelea kufa katika nchi kama Iraq, Libya, Somalia, Afghanistan, Palestina na nyingine nyingi hawana haki ya kuishi?
Au kunya anye kuku akinya bata kaharisha?
Tusipende kushabikia vitu bila kufikiria mambo kwa kina. Kama gaidi, Marekani ndio Gaidi namba moja.
Kila nikijaribu kudadavua kauli ya Marekani zidi ya RC Makonda wana maana gani, jibu sipati.
Mara najiuliza au kuuwa watu wasio na hatia ndiyo kuwanyima haki ya kuishi. Kama jibu ndiyo hilo, je wale watu waliokufa na wanaoendelea kufa katika nchi kama Iraq, Libya, Somalia, Afghanistan, Palestina na nyingine nyingi hawana haki ya kuishi?
Au kunya anye kuku akinya bata kaharisha?
Tusipende kushabikia vitu bila kufikiria mambo kwa kina. Kama gaidi, Marekani ndio Gaidi namba moja.