National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,212
Una hela ya kumpa au wataka mpa mimate tuu๐๐Mbona huyo Darlin mwenyewe ananiambia ananipenda lakini hanipi denda๐ค๐ค๐ค๐ค
๐๐๐ Siku nikipata hela nitawanyanyasa sana na mie, nitawasimanga.. Kama Diamond.. ipo siku yangu tuu.. Acha niende left kutuma cv ๐ ๐Ndio jaman mwanaume toka hata nje ukabebe zege na magunia ya mchele๐unakaa ndani kama utumbo akhaaaa sikutaki mie
Embu muulize tu jaman๐๐๐Una hela ya kumpa au wataka mpa mimate tuu๐๐
Hadi mimi tena jaman๐๐mbona me nakusupport hivo hivo kwa shida๐๐๐ Siku nikipata hela nitawanyanyasa sana na mie, nitawasimanga.. Kama Diamond.. ipo siku yangu tuu.. Acha niende left kutuma cv ๐ ๐
๐๐๐๐ Unanisamanga sana mbona, natazama tuu.. Nasema ipp siku yangu tuu na na ntabarikiwaa mtanikomaaa mjiandaaeee nasema mjiandaaeeeHadi mimi tena jaman๐๐mbona me nakusupport hivo hivo kwa shida
Hembu kwenda huko
Acha nikarishe mmbwa sasa, najua nitapata buku tano ingine hapa.. Nijiunge bundle la wiki nishinde na jobless wenzangu vizuri ๐๐Hembu kwenda huko
Mwenzio ana bodaboda ya maskan kwa siku sio chin ya 10000 haya wew ukiacha 2000 ya kusafisha banda๐๐๐
We jishauwe tuu na hiyo siku isifike tuone kama hutauza simu tukusahau huku jf๐๐๐ila ikifika usinisabau๐๐๐๐๐ Unanisamanga sana mbona, natazama tuu.. Nasema ipp siku yangu tuu na na ntabarikiwaa mtanikomaaa mjiandaaeee nasema mjiandaaeee
Haoa kwa siku nalaza 15k baada ya matumizi yote.
๐ ๐ ๐ Umejuaje, hapa simu yenyewe ya dogo nagongea yangu nilishauza kitambooo... Wewe upo kwenye list ya nitao waringishia na kuwanyanyasa kwa medeim sio sanaaaWe jishauwe tuu na hiyo siku isifike tuone kama hutauza simu tukusahau huku jf๐๐๐ila ikifika usinisabau๐
Kwa mwezi 450k hapo unahudumia kabisa mrembo kama Darlin ๐๐Haoa kwa siku nalaza 15k baada ya matumizi yote.
Oh sorry bby leo zamu yako usijali nitaioelekea moto mbususu hadi ufurahiKila siku unaenda kwa mke mkubwa me zamu yangu haifiki ilo denda nakupaje
Unafaidi sana mwanawane, kumbe unanichola tu mpenzi wako Darlin.. Ama kweli dunia haina usawa wala udugu ๐๐Oh sorry bby leo zamu yako usijali nitaioelekea moto mbususu hadi ufurahi
hahaha ,karibuNgoja naja pm nitakwambia tukutane wapi. Nikiweka hapa National Anthem hachelewi kufika eneo la tukio
Piem yenyewe mbona imepigwa kufuli๐ค๐ค๐ค๐คhahaha ,karibu
Mmmhhh hembu ngoja niongee na mzabzab tuangalie kama tunaweza kukusaidia na chochote kitu ununue hata tecno W3 au unasemaje juu ya hilo๐ ๐ ๐ Umejuaje, hapa simu yenyewe ya dogo nagongea yangu nilishauza kitambooo... Wewe upo kwenye list ya nitao waringishia na kuwanyanyasa kwa medeim sio sanaaa
Sawa usichelewe jaman nakutengea maji ya kuoga mapema kabisaaaaa๐คญOh sorry bby leo zamu yako usijali nitaioelekea moto mbususu hadi ufurahi