SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,240
- 4,270
Ni kweli ana maamuzi magumu. Kama ni kuhonga ili apate sapoti ya urais hasiti kufanya hivyo! Kufanya biashara zake ikulu kwake ni kitu rahisi sana! Huyu mheshimiwa ni kweli ana maamuzi magumu.Ananafaa sana tu. bora huyu ana maamuzi magumu kuliko Prof. fake TEZI.