kuwa na mpenzi shuleni ni sahii?

kuwa na mpenzi shuleni ni sahii?

KABILIZI

Member
Joined
Apr 14, 2014
Posts
29
Reaction score
3
jamani hakuna sababu ya kuwa na mpenzi ukiwa shule .
Kama kuna sababu nisaidie hizo sababu?
 
Kama mmefocus haina tatizo kabisa na tena mnatengeneza muda mzuri kujuana in and out, binafsi nilianza mausiano na mchumba wangu nikiwa form4, tulikuja kukutana kimwili miaka mi4 baadae tukiwa university mwaka wa pili, sasa niko kazini mwaka wa pili na tupo ktk maandalizi ya kuoana, its ok if you are not acting, i mean you are doing it with 1reason
 
Fafanua tafadhali shule inaazia chekechekea
Lakini vilevile kuwa na mpenzi si shida kama mmekua na kujitambua shida ni yale yatakayotokana na hayo mapenzi
 
boda.jpg
 
Kama mmefocus haina tatizo kabisa na tena mnatengeneza muda mzuri kujuana in and out, binafsi nilianza mausiano na mchumba wangu nikiwa form4, tulikuja kukutana kimwili miaka mi4 baadae tukiwa university mwaka wa pili, sasa niko kazini mwaka wa pili na tupo ktk maandalizi ya kuoana, its ok if you are not acting, i mean you are doing it with 1reason

Thank u bingwa kwa ushauri mzuri.mpe i shem mwambie holy friday.
 
Back
Top Bottom