Kuwa Mwangalifu Kazini (Scary)

X-PASTER

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
11,610
1,810
Tunapokuwa Makazini hususani zile kazi za kutumia mashine kama vile za kusaga, kukamua au zenye kuhusiana na mizunguko... hatuna budi kufuata taatibu za kiusalama ili tufanye kazi kwa ufanisi na kuepuka ajali zinazoweza kutuletea ulemavu wa viungo.

Hapa chini ni mfanyakazi wa Jikoni katika moja ya mahoteli ambaye kwa sababu moja ama nyingine alijikuta yupo kwenye wakati mgumu sana, pale amkono wakeuliponasa kwenye moja ya mashine ya kusagia nyama. (Grinder Machine).

Picha zinatisha kwa kiwango chake...


Kama ni mwenye ROHO nyepesi tafadhali bonyeza hapa: disclaimer

Kama ni mwenye moyo mgumu srolling down...


*
*
*

*
*
*

*
*
*

*
*
*

*
*

*
*
*
*

*
*
*

*
*
*​

grinder_1.jpg

grinder_2.jpg

grinder_3.jpg

grinder_4.jpg

grinder_5.jpg

grinder_6.jpg

grinder_7.jpg

grinder_8.jpg

grinder_9.jpg

grinder_10.jpg

grinder_11.jpg

grinder_12.jpg

grinder_13.jpg

grinder_14.jpg

grinder_15.jpg

 
.....WWHHEEEEEW, Nadhani sitakula nyama ya kusaga kwa miezi kadhaa!!!
 
Back
Top Bottom