X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
Tunapokuwa Makazini hususani zile kazi za kutumia mashine kama vile za kusaga, kukamua au zenye kuhusiana na mizunguko... hatuna budi kufuata taatibu za kiusalama ili tufanye kazi kwa ufanisi na kuepuka ajali zinazoweza kutuletea ulemavu wa viungo.
Hapa chini ni mfanyakazi wa Jikoni katika moja ya mahoteli ambaye kwa sababu moja ama nyingine alijikuta yupo kwenye wakati mgumu sana, pale amkono wakeuliponasa kwenye moja ya mashine ya kusagia nyama. (Grinder Machine).
Picha zinatisha kwa kiwango chake...
Kama ni mwenye ROHO nyepesi tafadhali bonyeza hapa: disclaimer
Kama ni mwenye moyo mgumu srolling down...
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
Hapa chini ni mfanyakazi wa Jikoni katika moja ya mahoteli ambaye kwa sababu moja ama nyingine alijikuta yupo kwenye wakati mgumu sana, pale amkono wakeuliponasa kwenye moja ya mashine ya kusagia nyama. (Grinder Machine).
Picha zinatisha kwa kiwango chake...
Kama ni mwenye ROHO nyepesi tafadhali bonyeza hapa: disclaimer
Kama ni mwenye moyo mgumu srolling down...
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*