lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,429
- 25,667
mimi nimesoma sheria na ninafanya kazi zangu binafsi napenda watanzania wengi wajue sheria za msingi sasa unakuta hata mtu hajui utaratibu wa kumuwekea dhamana ndugu yake pesa hana na kesi yenyewe ni ya praimary court wakili haupaswi ku involve kwenye vijikesi kama ivo mtu akiwa na basic knowledge anatakiwa ajisaidie mwenyewe labda kuwe na complication zingine
Kama wewe umesoma sheria, basi mimi najionea fahari mno kuishia darasa la nne. Kumbe ningesoma ndio ningekuwa hivi? Unaandika kama kasuku, umeanza sentensi yako kwa herufi ndogo,mwanzo hadi mwisho hakuna alama ya mkato wala nukta. Unataka wasomaji wako wafe kwa kukosa pumzi? |