Dkt Mwijuma
JF-Expert Member
- Apr 9, 2023
- 205
- 614
Kumekuwa na matukio ya kuvuja sana kwa picha ama video za maudhui ya ngono, na hili linawapata sana watu mashuhuri
Mfano Gwajima, Chongolo, Nyalandu nk.
Nikikumbuka nikiwa chuo niliwahi kuwa kwenye mahusiano na mdada mmoja mzuri matata hapo chuoni na tulielewana sana, lakini ilitokea kiongozi mmoja akamuelewa yule mdada kiukweli niliishi vizuri sana maana yule kiongozi alikuwa anahonga sio mchezo
Japo wakati wote yule kiongozi yupo na yule mdada mimi pia nlikuwa bado nipo nae, hivyo alikuwa akiwa hana ratiba na kiongozi basi yupo na mimi na bahati mbaya kiongozi alikuwa hana mda
Pesa ilikuwa ni nyingi sana, kuna mda mdada kumuenjoy kiongozi alikuwa anafanya bookings za room yeye kama yeye na anamuita kiongozi kuwa ana hamu nae hivyo aje sehemu hiyo
Aisee mapenzi acheni nyie, pamoja na mimi kunufaika kwa kupata pesa nilianza kuona wivu nikaanza kumuchukia kiongozi, nikaanza kupanga njama za kumuharibia picha
Niliwahi kumuamulisha mdada afanye booking na kiongozi wake aje kisha mimi nikatangulia kwenye hiyo room kurekodi video na nilifanikiwa
Kiongozi hakuwa makini kabisa na usalama wake yeye alijari tu location ya hotel na huenda aliuamini sana ulinzi wa hotel
Kwenye hili la kuvujisha picha ama video lipo kwenye milengo miwili tu ambayo yote inaondolewa kwa njia moja tu
Mlengo wa kwanza ni wewe kuwa na uadui na watu kisha wakaamua kumtumia mpenzi wako kukuchafua
Hawa wadada wa mjini wapo kwa ajili ya pesa, hata kama una mpa pesa kiasi gani akipata dau jingine tu anachukua hivyo anaweza kufanya chochote akipewa dau
Mlengo wa pili ni kutaka umaarufu kwa mtu, una mdada lkn anataka kujulikana kupitia wewe kwamba video zenu zikienda atajulikana
Njia ya kuzuia ni moja tu ni kuhakikisha mara zote mnapokutana booking unafanya wewe, usijiingeze kwenye tabia ya kwenda popote alipopanga mtu wako
Mfano Gwajima, Chongolo, Nyalandu nk.
Nikikumbuka nikiwa chuo niliwahi kuwa kwenye mahusiano na mdada mmoja mzuri matata hapo chuoni na tulielewana sana, lakini ilitokea kiongozi mmoja akamuelewa yule mdada kiukweli niliishi vizuri sana maana yule kiongozi alikuwa anahonga sio mchezo
Japo wakati wote yule kiongozi yupo na yule mdada mimi pia nlikuwa bado nipo nae, hivyo alikuwa akiwa hana ratiba na kiongozi basi yupo na mimi na bahati mbaya kiongozi alikuwa hana mda
Pesa ilikuwa ni nyingi sana, kuna mda mdada kumuenjoy kiongozi alikuwa anafanya bookings za room yeye kama yeye na anamuita kiongozi kuwa ana hamu nae hivyo aje sehemu hiyo
Aisee mapenzi acheni nyie, pamoja na mimi kunufaika kwa kupata pesa nilianza kuona wivu nikaanza kumuchukia kiongozi, nikaanza kupanga njama za kumuharibia picha
Niliwahi kumuamulisha mdada afanye booking na kiongozi wake aje kisha mimi nikatangulia kwenye hiyo room kurekodi video na nilifanikiwa
Kiongozi hakuwa makini kabisa na usalama wake yeye alijari tu location ya hotel na huenda aliuamini sana ulinzi wa hotel
Kwenye hili la kuvujisha picha ama video lipo kwenye milengo miwili tu ambayo yote inaondolewa kwa njia moja tu
Mlengo wa kwanza ni wewe kuwa na uadui na watu kisha wakaamua kumtumia mpenzi wako kukuchafua
Hawa wadada wa mjini wapo kwa ajili ya pesa, hata kama una mpa pesa kiasi gani akipata dau jingine tu anachukua hivyo anaweza kufanya chochote akipewa dau
Mlengo wa pili ni kutaka umaarufu kwa mtu, una mdada lkn anataka kujulikana kupitia wewe kwamba video zenu zikienda atajulikana
Njia ya kuzuia ni moja tu ni kuhakikisha mara zote mnapokutana booking unafanya wewe, usijiingeze kwenye tabia ya kwenda popote alipopanga mtu wako