Kuwa Kiben10 Nako Ni Tabu

Kuwa Kiben10 Nako Ni Tabu

Pimbi tuu wewe alafu unaweka picha yake humu kwa ridhaa ya nani? Je, kama yuko humu na kwa hayo maelezo akajua ni wewe, atakachokufanyia unajua wewe? Take care hizo sifa za kijinga unajifanya mjanja wa A town zitakucost.
Ebu ngoja kwanza Umeniita pimbi chaliangu sio?!!Bas sawa aikatai aride..Hayupo humu ukiona nimeweka picha ujue nshamfatilia kichizi...ila jichunge sana na mdomo.
 
unnamed.jpeg
 
Nyie watu wa arusha
Hua mnajiona wajuaji sana
Shwain😡😡
 
Aslaam Aleikyum Ndugu zanguni....Natumai mko wazima kabisa....Direct to e' Point,,Ebwana wee kuna jimama flani apa Kijenge Juu Ni Mbulu/Mu'Iraq akiongea kama Katarina wa Karatu sijui ni nduguye!?Umri kama miaka 35 hivi linaishi pekeake tu,Navoskia mumewe alikua ni Tour guide so alipata mamilox ya kizungu fresh from Dernmark akampiga chini mkewe uyu Jimama alaf akateleza zake Lembe(Mbele/Marekani),,So uyu dingilii aliacha kamjengea mjengo na jax(pesa)za kushato tu Shugamamy,Jimama lina biashara za maana tu apa A Town,Picha linaanza Starring kauawa alaf kwenye maua!Anyways Jimama lilitokea kunipenda sana lilinikuta ofisini kwetu na machalii zangu tunachora na ku'print T-Shirts,Lilikua linataka tukaliandikie Bango la Lodge ake flani fas ya Townika kipindi icho nilikua likizo chuoni,Bas bhana lilinisound'isha nikalikubalia tuka'fall in luv each other,To be honesty linanisaidiaga kwenye mbanga zangu shazi kinyama zikienda Lonya,Sometimes Hadi ada hunilipia lenyewe especially semester2,,Sasa jana tukiwa Kitandani baada ya mechi nikalisubilia lianze Kunywa uji usingizini(Kusinzia na kukoroma)nikachukua Kitilili/phonenga(simu)yake nisome text zake,ile nimefungua tu kwenye sms Nikasikia linasema"Hakikisha Ukimaliza Unaenda Kulilia Nje Humu sitaki Kelele Nimechoka Sana Ntakubutua Mno"Daah niliishiwa Swagiree asee..!!
@ChaliiYaKijengeJuu.
We Chalii, hii picha ya mke wangu umeitoa wapi wewe
 
Nasikia siku izi mnawaloga hao majimama ili msiachike
Aslaam Aleikyum Ndugu zanguni....Natumai mko wazima kabisa....Direct to e' Point,,Ebwana wee kuna jimama flani apa Kijenge Juu Ni Mbulu/Mu'Iraq akiongea kama Katarina wa Karatu sijui ni nduguye!?Umri kama miaka 35 hivi linaishi pekeake tu,Navoskia mumewe alikua ni Tour guide so alipata mamilox ya kizungu fresh from Dernmark akampiga chini mkewe uyu Jimama alaf akateleza zake Lembe(Mbele/Marekani),,So uyu dingilii aliacha kamjengea mjengo na jax(pesa)za kushato tu Shugamamy,Jimama lina biashara za maana tu apa A Town,Picha linaanza Starring kauawa alaf kwenye maua!Anyways Jimama lilitokea kunipenda sana lilinikuta ofisini kwetu na machalii zangu tunachora na ku'print T-Shirts,Lilikua linataka tukaliandikie Bango la Lodge ake flani fas ya Townika kipindi icho nilikua likizo chuoni,Bas bhana lilinisound'isha nikalikubalia tuka'fall in luv each other,To be honesty linanisaidiaga kwenye mbanga zangu shazi kinyama zikienda Lonya,Sometimes Hadi ada hunilipia lenyewe especially semester2,,Sasa jana tukiwa Kitandani baada ya mechi nikalisubilia lianze Kunywa uji usingizini(Kusinzia na kukoroma)nikachukua Kitilili/phonenga(simu)yake nisome text zake,ile nimefungua tu kwenye sms Nikasikia linasema"Hakikisha Ukimaliza Unaenda Kulilia Nje Humu sitaki Kelele Nimechoka Sana Ntakubutua Mno"Daah niliishiwa Swagiree asee..!!
@ChaliiYaKijengeJuu.
 
Umepewa free k, bado unataka kumfuatilia mpaka kwenye anga zake...

Atakubuta kweli...


Cc: mahondaw
 

Alafu hizo bangi za Arusha nadhani zina viwango sana kuliko ya Njombe.
Unasema hayupo humu JF, ok, vipi kuhusu ndugu zake, marafiki zake, umefikiria social impact ya ujinga uliofanya?
Wataona marafiki zake, ndugu zake watampelekea hiyo story, kumbuka huku tuko na ID fake. wee subiri iko siku utafanyiwa kitu mbaya hutasahau. Nadhani umeingia Arusha kichwa kichwa
 
Huwa sielewagi unachokiandika ila napendaga tu kukusoma yaani
 
Alafu hizo bangi za Arusha nadhani zina viwango sana kuliko ya Njombe.
Unasema hayupo humu JF, ok, vipi kuhusu ndugu zake, marafiki zake, umefikiria social impact ya ujinga uliofanya?
Wataona marafiki zake, ndugu zake watampelekea hiyo story, kumbuka huku tuko na ID fake. wee subiri iko siku utafanyiwa kitu mbaya hutasahau. Nadhani umeingia Arusha kichwa kichwa
Vijana wa chuga washamba Sana
 
Back
Top Bottom