mbona hawa perpetrators wanaochoma bar na kuzuia biashara ya pombe zanzibar sijasikia kama wameshitakiwa.au serikali yao nayo inaunga mkono haya maswala,maana kama walikuwa na bunduki,walikuwa na mpango wa kuua kabisa
wakiachwa hawa watakuwa boko haram na alshabaab wengine.
HUU UJINGA WAO WAUFANYIE HUKOHUKO VISIWANI,HUKU BARA WASIDANGANYWE KUANZISHA HII VITA,ITAWACOST