Kuuza na kununua mazao kwa uharaka na malipo sahihi!!!

Kilimo Faida

New Member
Apr 16, 2017
4
0
Wadau wa kilimo tumekuwa tukipata changamoto katika kununua au kuuza mazao kwa wakati na bei sahihi. Zifuatazo ni sababu mbali mbali:

Wauzaji/wakulima

1. Kukosekana kwa taarifa sahihi za wanunuzi na mahitaji
2. Kutokujua maeneo yenye uhitaji zaidi wa mazao
3. Bei ndogo kutoka kwa wanunuzi
4. Miundombinu mibovu

Wanunuaji

1. Kukosekana kwa taarifa za maeneo ya upatikanaji wa mazao
2. Ubora wa mazao kutoka kwa wauzaji/wakulima
3. Miundombinu mibovu

Je, Kuna changamoto nyingine ukiachilia zilizotajwa? Nini kifanyike?
 
Wadau wa kilimo tumekuwa tukipata changamoto katika kununua au kuuza mazao kwa wakati na bei sahihi. Zifuatazo ni sababu mbali mbali:

Wauzaji/wakulima

1. Kukosekana kwa taarifa sahihi za wanunuzi na mahitaji
2. Kutokujua maeneo yenye uhitaji zaidi wa mazao
3. Bei ndogo kutoka kwa wanunuzi
4. Miundombinu mibovu

Wanunuaji

1. Kukosekana kwa taarifa za maeneo ya upatikanaji wa mazao
2. Ubora wa mazao kutoka kwa wauzaji/wakulima
3. Miundombinu mibovu

Je, Kuna changamoto nyingine ukiachilia zilizotajwa? Nini kifanyike?
Zuio la kuuza nje ya Nchi pindi Bei za soko la ndani zinapokuwa za chini
 
Back
Top Bottom