mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,973
Wakuu,
Ni asubuhi ya leo nimepita Barabara ya Mwai Kibaki nimekuta kuna gari limeungua na limebaki screpa tupu.Pia kabla ya hapo nimeshuhudia matukio ya namna hiyo katika sehemu mbali mbali.Labda kwa mafundi na wenye uzoefu,ni kitu gani hasa kinapelekea gari kuungua?,kwa mtumiaji wa kawaida kama mimi,nifanyeje ili kuepuka zahama ya kagari kangu ka mkopo kuungua?Ahsante.
Ni asubuhi ya leo nimepita Barabara ya Mwai Kibaki nimekuta kuna gari limeungua na limebaki screpa tupu.Pia kabla ya hapo nimeshuhudia matukio ya namna hiyo katika sehemu mbali mbali.Labda kwa mafundi na wenye uzoefu,ni kitu gani hasa kinapelekea gari kuungua?,kwa mtumiaji wa kawaida kama mimi,nifanyeje ili kuepuka zahama ya kagari kangu ka mkopo kuungua?Ahsante.