wadau hbr...naomba kuuliza hatua za kufuata ili niunganishe huduma za cable television kwny projector yaan ntumie projector badala ya tv yangu...nko dodoma, ntashukuru kwa msaada
Mkuu hapo kwenye red haujasomeka unamaanisha huduma zakulipia au au unamaanisha cable za AV au???wadau hbr...naomba kuuliza hatua za kufuata ili niunganishe huduma za cable television kwny projector yaan ntumie projector badala ya tv yangu...nko dodoma, ntashukuru kwa msaada
Mkuu hapo kwenye red haujasomeka unamaanisha huduma zakulipia au au unamaanisha cable za AV au???
Kama una tv unataka kutumia clable kuna mambo yakuangalia moja kupitia through TV au Direct kwenye Projector
Kama ni huduma ya cable tazama output AV,kama unataka kuhamisha hudumu kutoka kwenye kidukuzi kwenda katika projector tumia VGA!https://www.google.co.tz/search?q=v...wI6Gu0QXSh4DQDw&ved=0CDIQsAQ&biw=1366&bih=564
chukua waya wa cable chomeka kwenye tv baada ya hapo angalia matundu ya av out (nyuma ya tv) toa waya peleka kwenye projector. NB:Ukitaka kubadilisha channel unabadilishia kwenye tv
imekubali...lkn hakuna njia nyngne tv isihusike kbs??
Mkuu, tumezingatia kuwa huyo cable operator wako anatumia RF kuwapatieni hizo channel hivyo hakuna njia nyingine mbadala labda kama huyo cable operator wako anagawa cable ambazo zinawekwa na receiver hapo ungeweza tumia receiver kupata picha ktk projecta ila kwa ishu yako unaweza kununua TV combo ambayo itakuwezesha kuona kupitia VGA cable.![]()
Kuna deck zinakuaga na tuner ndan yake so unachomeka huo waya una search channel bas kupitia deck tv huchomek
shukrani kaka...hiyo tv combo yauzwaje kwa wastani wa bei hapa bongo
Chomeka huo waya kwenye deki halafu chomeka hzo waya za projector kwenye av out ya deki ziwashe sasa inategemea na deki ingia sehem ya ku search kama kwenye tv itakamata zotenmepata deki yenye tuner naomba namba ya simu ya mdau mwenye idea jins ya kusearch na mengne maana nmekwama...au nibeep via 0713306404