peter willson
Member
- Dec 4, 2015
- 19
- 3
Habari.
Mimi huwa nafanya jogging ambapo huwa natumia saa moja
au mawili. Huwa ninaumwa na kichwa baada ya mazoezi (siyo mara tu nimalizapo), nikiwa nimepumzika.
Tatizo ni nini, na je itaniletea madhara gani?
Naomba kuuliza.
Mimi huwa nafanya jogging ambapo huwa natumia saa moja
au mawili. Huwa ninaumwa na kichwa baada ya mazoezi (siyo mara tu nimalizapo), nikiwa nimepumzika.
Tatizo ni nini, na je itaniletea madhara gani?
Naomba kuuliza.