Kuulizia maombi ya chuo

Kuulizia maombi ya chuo

humphrey_leslie

New Member
Joined
Sep 26, 2014
Posts
2
Reaction score
2
Ningependa kuuliza je mimi ni kijana niliyemaliza kidato cha nne mwaka jana na kufanikiwa kupata division two..Je ninaweza kuapply chuo chochote Tanzania na kuanza kusoma kwa level ya diploma au haiwezekan..?
 
Ningependa kuuliza je mimi ni kijana niliyemaliza kidato cha nne mwaka jana na kufanikiwa kupata division two..Je ninaweza kuapply chuo chochote Tanzania na kuanza kusoma kwa level ya diploma au haiwezekan..?
Swali lako la kwanza jibu lake ni hili, sina uhakika kama kweli wewe ni kijana uliemaliza kidato cha nne mwaka jana na kufanikiwa kupata division two, maana hata wewe huelewi ndio maana ukatuuliza kutaka uhakika je ulifaulu.
Swali la pili jibu lake ndio. Unaweza ku apply chuo chochote kwa ngazi ya diploma kama hukupata mswaki wa math.
 
Back
Top Bottom