K Kichwa Ndio Mtu JF-Expert Member Joined Jan 17, 2014 Posts 3,079 Reaction score 1,719 Jan 31, 2014 #1 Shilingi milioni 1000 zinaitwa bilioni moja. Shilingi bilioni 1000 zinaitwa trilioni moja Shilingi trilion 1000 zinaitwaje kwa pamoja,
Shilingi milioni 1000 zinaitwa bilioni moja. Shilingi bilioni 1000 zinaitwa trilioni moja Shilingi trilion 1000 zinaitwaje kwa pamoja,
J jacben90 Member Joined Jul 29, 2013 Posts 58 Reaction score 20 Jan 31, 2014 #3 Kichwa Ndio Mtu said: Shilingi milioni 1000 zinaitwa bilioni moja. Shilingi bilioni 1000 zinaitwa trilioni moja Shilingi trilion 1000 zinaitwaje kwa pamoja, Click to expand... Na ujue hela haina mwisho upo mwisho wa kutamka tu
Kichwa Ndio Mtu said: Shilingi milioni 1000 zinaitwa bilioni moja. Shilingi bilioni 1000 zinaitwa trilioni moja Shilingi trilion 1000 zinaitwaje kwa pamoja, Click to expand... Na ujue hela haina mwisho upo mwisho wa kutamka tu
K Kichwa Ndio Mtu JF-Expert Member Joined Jan 17, 2014 Posts 3,079 Reaction score 1,719 Jan 31, 2014 Thread starter #4 jacben90 said: Zitaitwa Quntilion Click to expand... aisee!
K Kichwa Ndio Mtu JF-Expert Member Joined Jan 17, 2014 Posts 3,079 Reaction score 1,719 Jan 31, 2014 Thread starter #5 jacben90 said: Na ujue hela haina mwisho upo mwisho wa kutamka tu Click to expand... kwa hyo jina lake au ndio mwisho wa kutamka ukifikia hyo pesa.
jacben90 said: Na ujue hela haina mwisho upo mwisho wa kutamka tu Click to expand... kwa hyo jina lake au ndio mwisho wa kutamka ukifikia hyo pesa.
J jacben90 Member Joined Jul 29, 2013 Posts 58 Reaction score 20 Jan 31, 2014 #6 Kichwa Ndio Mtu said: aisee! Click to expand... Mbona umeshangaa kichwa?
B bategereza JF-Expert Member Joined Dec 26, 2013 Posts 3,314 Reaction score 1,072 Jan 31, 2014 #7 jacben90 said: Na ujue hela haina mwisho upo mwisho wa kutamka tu Click to expand... Nilikua najua starehe haina mwisho kumbe hata hela haina mwisho
jacben90 said: Na ujue hela haina mwisho upo mwisho wa kutamka tu Click to expand... Nilikua najua starehe haina mwisho kumbe hata hela haina mwisho
Tyta JF-Expert Member Joined May 21, 2011 Posts 12,767 Reaction score 10,536 Jan 31, 2014 #8 KWELI Kichwa Ndio Mtu !
J jacben90 Member Joined Jul 29, 2013 Posts 58 Reaction score 20 Jan 31, 2014 #9 Kichwa Ndio Mtu said: kwa hyo jina lake au ndio mwisho wa kutamka ukifikia hyo pesa. Click to expand... Ikitoka hiyo trilion ndo inakuja hyo Quantilion
Kichwa Ndio Mtu said: kwa hyo jina lake au ndio mwisho wa kutamka ukifikia hyo pesa. Click to expand... Ikitoka hiyo trilion ndo inakuja hyo Quantilion
strong ruler JF-Expert Member Joined Nov 2, 2013 Posts 4,919 Reaction score 3,312 Jan 31, 2014 #10 Hahaha
K Kichwa Ndio Mtu JF-Expert Member Joined Jan 17, 2014 Posts 3,079 Reaction score 1,719 Jan 31, 2014 Thread starter #11 jacben90 said: Ikitoka hiyo trilion ndo inakuja hyo Quantilion Click to expand... je kuna zaidi tena ya hapo?hli jambo nimekua nikijiuliza sana.asante kwa taarifa mkuu,nimejua inaitwaje.
jacben90 said: Ikitoka hiyo trilion ndo inakuja hyo Quantilion Click to expand... je kuna zaidi tena ya hapo?hli jambo nimekua nikijiuliza sana.asante kwa taarifa mkuu,nimejua inaitwaje.
TANMO JF-Expert Member Joined Apr 12, 2008 Posts 12,046 Reaction score 12,542 Jan 31, 2014 #12 Zinaitwa Terabyte....
K Kichwa Ndio Mtu JF-Expert Member Joined Jan 17, 2014 Posts 3,079 Reaction score 1,719 Jan 31, 2014 Thread starter #13 jacben90 said: Mbona umeshangaa kichwa? Click to expand... nimeshangaa kidogo,awali niliambiwa haina jina,kumbe nilidanganywa
jacben90 said: Mbona umeshangaa kichwa? Click to expand... nimeshangaa kidogo,awali niliambiwa haina jina,kumbe nilidanganywa
J jacben90 Member Joined Jul 29, 2013 Posts 58 Reaction score 20 Jan 31, 2014 #14 Kichwa Ndio Mtu said: je kuna zaidi tena ya hapo?hli jambo nimekua nikijiuliza sana.asante kwa taarifa mkuu,nimejua inaitwaje. Click to expand... Zaidi ya hapo labda nifanye tena uchunguzi mi pia niliishia hapo sikutaka tena kuuliza zaidi
Kichwa Ndio Mtu said: je kuna zaidi tena ya hapo?hli jambo nimekua nikijiuliza sana.asante kwa taarifa mkuu,nimejua inaitwaje. Click to expand... Zaidi ya hapo labda nifanye tena uchunguzi mi pia niliishia hapo sikutaka tena kuuliza zaidi
K Kichwa Ndio Mtu JF-Expert Member Joined Jan 17, 2014 Posts 3,079 Reaction score 1,719 Jan 31, 2014 Thread starter #15 TANMO said: Zinaitwa Terabyte.... Click to expand... byte tena mkuu?
K Kichwa Ndio Mtu JF-Expert Member Joined Jan 17, 2014 Posts 3,079 Reaction score 1,719 Jan 31, 2014 Thread starter #16 jacben90 said: Zaidi ya hapo labda nifanye tena uchunguzi mi pia niliishia hapo sikutaka tena kuuliza zaidi Click to expand... shukran mkuu,unajua nimejiuliza sana hv dola trilion 1 ya marekan ni shiling ngapi.
jacben90 said: Zaidi ya hapo labda nifanye tena uchunguzi mi pia niliishia hapo sikutaka tena kuuliza zaidi Click to expand... shukran mkuu,unajua nimejiuliza sana hv dola trilion 1 ya marekan ni shiling ngapi.
J jacben90 Member Joined Jul 29, 2013 Posts 58 Reaction score 20 Jan 31, 2014 #17 Kichwa Ndio Mtu said: shukran mkuu,unajua nimejiuliza sana hv dola trilion 1 ya marekan ni shiling ngapi. Click to expand... Ndo hapo sasa mkuu pa kwenda kufanya uchunguzi zaid na kujiongeza kidoogo upeo wa kufikiria
Kichwa Ndio Mtu said: shukran mkuu,unajua nimejiuliza sana hv dola trilion 1 ya marekan ni shiling ngapi. Click to expand... Ndo hapo sasa mkuu pa kwenda kufanya uchunguzi zaid na kujiongeza kidoogo upeo wa kufikiria
K Kichwa Ndio Mtu JF-Expert Member Joined Jan 17, 2014 Posts 3,079 Reaction score 1,719 Jan 31, 2014 Thread starter #18 Tyta said: KWELI Kichwa Ndio Mtu ! Click to expand... mbona unaguna mkuu
Black Sniper JF-Expert Member Joined Dec 10, 2013 Posts 34,434 Reaction score 59,289 Jan 31, 2014 #19 Decillion nilipofika nikaamua kuzigawa, mkuu hela hazina mwisho
Black Sniper JF-Expert Member Joined Dec 10, 2013 Posts 34,434 Reaction score 59,289 Jan 31, 2014 #20 Kichwa Ndio Mtu said: je kuna zaidi tena ya hapo?hli jambo nimekua nikijiuliza sana.asante kwa taarifa mkuu,nimejua inaitwaje. Click to expand... Centillion ina zero 303 ndio ya mwisho
Kichwa Ndio Mtu said: je kuna zaidi tena ya hapo?hli jambo nimekua nikijiuliza sana.asante kwa taarifa mkuu,nimejua inaitwaje. Click to expand... Centillion ina zero 303 ndio ya mwisho