Kutumia internet laini nyingine kwenye simu ya vodacom

Kutumia internet laini nyingine kwenye simu ya vodacom

kasambalakk

Senior Member
Joined
Apr 2, 2011
Posts
126
Reaction score
17
habari wanajamvi,

nimenunua simu za vodacom lakni na shindwa kutumia data lain nyingine kwa sababu lain ambayo unatakiwa kutmia data ni voda nashindwa kupata uwezo wa kutumia data kwa laini nyingine,

naomba msaada wa maujuzi wa kutumia data kwa laini zote pia jinsi ya kuweza kutumia laini mbili bila kutumia laini ya voda nashukuru sana
 
habari wanajamvi,

nimenunua simu za vodacom lakni na shindwa kutumia data lain nyingine kwa sababu lain ambayo unatakiwa kutmia data ni voda nashindwa kupata uwezo wa kutumia data kwa laini nyingine,

naomba msaada wa maujuzi wa kutumia data kwa laini zote pia jinsi ya kuweza kutumia laini mbili bila kutumia laini ya voda nashukuru sana
Maelezo hayajitoshelezi.....
 
habari wanajamvi,

nimenunua simu za vodacom lakni na shindwa kutumia data lain nyingine kwa sababu lain ambayo unatakiwa kutmia data ni voda nashindwa kupata uwezo wa kutumia data kwa laini nyingine,

naomba msaada wa maujuzi wa kutumia data kwa laini zote pia jinsi ya kuweza kutumia laini mbili bila kutumia laini ya voda nashukuru sana
ngoja waje.
 
habari wanajamvi,

nimenunua simu za vodacom lakni na shindwa kutumia data lain nyingine kwa sababu lain ambayo unatakiwa kutmia data ni voda nashindwa kupata uwezo wa kutumia data kwa laini nyingine,

naomba msaada wa maujuzi wa kutumia data kwa laini zote pia jinsi ya kuweza kutumia laini mbili bila kutumia laini ya voda nashukuru sana
Simu yenyewe aina gani kwanza.
 
Kama ina laini 2 huwa laini ya mtandao mwingine inasomaga E siku zote
 
Ila kuna wengine mtakoswa misaada kutokana na maelezo yenu kutokujitosheleza better useme nina smartphone ya company ya voda na hiyo simu ni aina fulani na uweke model yake hapa ndo utasaidiwa bt kwa maelekezo finyu nishakuelewa ww unahitaji kuunlock simu yako mm sningekuwa karibu yako ungefanikiwa lkn upo mbali nami ni ngumu sana bt kama una pc waweza nichek kwa namba hii 0677991687
 
Ila kuna wengine mtakoswa misaada kutokana na maelezo yenu kutokujitosheleza better useme nina smartphone ya company ya voda na hiyo simu ni aina fulani na uweke model yake hapa ndo utasaidiwa bt kwa maelekezo finyu nishakuelewa ww unahitaji kuunlock simu yako mm sningekuwa karibu yako ungefanikiwa lkn upo mbali nami ni ngumu sana bt kama una pc waweza nichek kwa namba hii 0677991687


ninatumia smartphone za vodacom, ambazo ni lazima sim 1 lazima iwe voda na uwezi kuunga network kwa sim 2,
msaada jindi ya kutumia sim 1 laini nyingine zaid ya vodacom,


asanteni
 
Nenda kwa mafundi waifungue iwe inakubali line yoyote.
 
Back
Top Bottom