MKURUGENZI wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk Edward Hoseah, amesema kuwa kuwafikisha mahakamani watuhumiwa wote wa ufisadi kwa pamoja kunaweza kusababisha nchi kuyumba.
tatzo letu watz tuna ugonjwa wa usahaulifu sana km kuku vile...yn mijitu ishakengeuka tayar na kuiona CCM hii et ipo na itakuwa tofauti na CCM zingine hahaha
Watanzania aka Nyumbu ndo wataendelea kuwa chakula cha Mamba(CCM) milele cz of their stupid mindset
Mi unasubiri hiyo mahakama ya mafisadi nione itafanyaje kazi,,,,,wapi mafisadi walioshindikana kama akina chenge,,,tibaijuka, ,,muhongo. E.T.c natamani kuona wakipandishwa kizimbani
Unapozungumzia upuuzi ufisadi uwizi wa rasilimali za nchi watuhumiwa # 1 wapo mafccm, jiulize huyo masolex ataanzajeanzaje
Kuwa kamata ccm yote imejaa wez mafisadi
Majambazi!
Huyo mkurugenzi wa takukur ana maskendo
Ccm hakuna msafi wa kumsafisha mwenzake wote ni Wachafu. .......
Namwomba Mungu muumba mbingu na nchi anijalie uhai na uzima nishuhudie, mafisadi wa nchi hii wakitupwa jela na kufilisiwa..... Bado naona kama hichi kitu hakitawezekana!!!
Namwomba Mungu muumba mbingu na nchi anijalie uhai na uzima nishuhudie, mafisadi wa nchi hii wakitupwa jela na kufilisiwa..... Bado naona kama hichi kitu hakitawezekana!!!
Hiyo mahakama itakuwa jengo tu, itawakamata watu wadogo kama matrafki na wengine. Upande wa vigogo watasema "kama kuna mwananchi mwenye ushahidi kwamba kigogo X ni fisadi auwakilishe".
Kati ya statementas ambazo ziliwahi kunikera to the core ni hii.Hivi inaingia akilini kweli.Mtu akuibie,umuone kabisa hatimaye unasema aa, muache tu aendelee bwana,nikimstua anaweza kunifanya lolote baya.Watu si watakuona wewe hamnazo.Equally tulimuona Hosea hamnazo,kwa kuwa tulijua kuna jambo lilokuwa linafichwa na kutetewa na wala haikuwa kweli kwamba nchi itayumba mafisadi wakipelekwa mahakamani.Thankyou God we have Magufuli.
MKURUGENZI wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk Edward Hoseah, amesema kuwa kuwafikisha mahakamani watuhumiwa wote wa ufisadi kwa pamoja kunaweza kusababisha nchi kuyumba.
tatzo letu watz tuna ugonjwa wa usahaulifu sana km kuku vile...yn mijitu ishakengeuka tayar na kuiona CCM hii et ipo na itakuwa tofauti na CCM zingine hahaha
Watanzania aka Nyumbu ndo wataendelea kuwa chakula cha Mamba(CCM) milele cz of their stupid mindset
Vasco da gama alitaka kujinasua Uchairman wa chama amwachie Mkuu wa kaya.
Sasa Vasco ameghairi kutokana na huyu mkuu wa kaya kujifanya anatishia mfumo wake kimaneno ingawa kimatendo bado Vasco ndo remote, refer to uteuzi wa viongozi mbalimbali.