Elections 2010 Kutuma matokeo toka vituoni

Kieleweke

Member
Jun 23, 2009
79
8
Matokeo yakihesabiwa vituoni wakala ataondoka na kopi yake lakini wakati huohuo ili amrahisishie kazi anayejumlisha jiboni, anaweza kutuma hata kwa message kwenye tally centre yaani ile ya kujumlishia akiweka mpangilio huu:
**
Matokeo ya URAISIatume message tuma ifuatayo:
ZILIZOHARIBIKA:
CHADEMA:
CCM:
CUF:
NCCR:
TLP:
UPDP:
APPT:
**
Matokeo ya UBUNGEatume message tuma ifuatayo:
ZILIZOHARIBIKA:
CHADEMA:
CCM:
CUF:
NCCR:
TLP:
UPDP:
APPT:
DP:
UDP:
MAKINI:
UMD:
NRA:
TADEA:
PONA:
FORD:
NLD:
SAU:
CHAUSTA:
**
Matokeo ya UDIWANIatume message tuma ifuatayo:
ZILIZOHARIBIKA:
CHADEMA:
CCM:
CUF:
NCCR:
TLP:
UPDP:
APPT:
DP:
UDP:
MAKINI:
UMD:
NRA:
TADEA:
PONA:
FORD:
NLD:
SAU:
CHAUSTA:

Tujipe moyo ile automatic calculator tuliyoletewa humu JF wanaojumlisha wataitumia kwa kila jimbo na bado tunawakumbusha iko kwenye thread hii:

https://www.jamiiforums.com/uchaguzi-tanzania-2010/81684-matokeo-ya-uchaguzi-yawekwe-hapa.html
 
Back
Top Bottom