kutoridhishwa katika mapenzi

pole dada! ushauri wangu ni mdogo tu. najua unaweka mazingira ya tendo hilo kama inavyopaswa. kitu ambacho unatakiwa umwambie mme wako usimruhusu aingize kwanza kiungo chake kwako, mwambie mpz usiwe na haraka hivyo hebu nichezee kwanza king'amuzi changu hadi niridhike! mm najua mwanaume ana uwezo wa kucheza na king'amzi cha mpenzi wake hadi akapagawa hadi yeyemwenyewe atasema please ingiza, nakwabia kama mwanamke akisha sema hivyo haihitaji dakikanyingi naye atafika na atafuahia.
 

Dawa aongeze mke wa pili!!!😛
 
Nani kakwambia?
....If you would win a man to your cause, first convince him that you are his sincere friend.
No man has a good enough memory to make a successful liar.
 

Hayatuhusu. Nenda kayamalize na mumeo. This is your private business. Hatuhusiki kabisa.
 
Kwa kawaida wanaume wengi wanawahi kupisi raund Ya kwanza. So hapo utata ni kwa nini anaishia raundi ya kwanza.
 

mambo hayo fanyia kazi
 
Njo kwangu mama nina nguvu za simba dume
 
Sawa ndugu who cares ni kweli nimetoa crappppp kama ulivyosema sijui wewe umetoa nini cha kumsaidia? Hili ni jambo la watu wawili siyo la mwingine. Niungane na aliyeuliza kuwa mhusika amefanyaje kutatua tatizo?

Mwenzangu wa crapppp amekuja na mapovu utadhani kuna mwalimu wa mambo haya
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…