Kutoonekana kwa Viongozi/Mwakilishi wa Vyama vya Upinzani Katika Msiba wa Mke wa Mwakyembe

Kwa hiyo tunapinga kwa kugawa au kwa kuunganisha?
Uongozi wa JPM umeamua kuligawa taifa,bungeni nao wameshaanza ubaguzi wa kivyama,sishangai kwa sababu hata ndesamburo alivyofariki hakuna kiongozi wa serikali wala mwakilishi wa bunge sasa kubaguana huku kunahamia mitaani hapo ndipo nchi itaisoma namba kisawasawa,nyerere alituunganisha tukaishi kama ndugu leo JPM anakuja anatugawa si sawa lazima tulipinge hilo kiongozi anayetaka kutugawa sisi watanzania hafai kuwa kiongozi
 
Imekuwa kitu cha ajabu sana kutoona hata mwakilishi mmoja wa upinzani katika msiba wa Mke wa Mwakyembe. Si kawaida kutoona Lowassa au Mbowe au Mwakilishi wa baadhi ya vyama vyetu pendwa kwenye misiba hasa yenye sura ya kitaifa.

Kuna mwenye majibu!!!

Shida nini?
i) Mwakyembe kuwa katika kamati iliyomng'oa Lowassa U-PM mwaka 2007;
ii) Hapakuwa na umuhimu wa kuwa na mwakilishi wa chama katika msiba huu; au
iii) Kuna uhasama wa kivyama sana ambao hatujaanza kuzikana kama Watanzania.

Hawakuwa na uhakika kama huo mkusanyiko Siro atasema ni halali. Wangeweza kukamatwa unakumbuka wakati wa kampeni ulitokea msiba wa mdhamini wa CCM Lowasa alikamatwa.
 
Imekuwa kitu cha ajabu sana kutoona hata mwakilishi mmoja wa upinzani katika msiba wa Mke wa Mwakyembe. Si kawaida kutoona Lowassa au Mbowe au Mwakilishi wa baadhi ya vyama vyetu pendwa kwenye misiba hasa yenye sura ya kitaifa.

Kuna mwenye majibu!!!

Shida nini?
i) Mwakyembe kuwa katika kamati iliyomng'oa Lowassa U-PM mwaka 2007;
ii) Hapakuwa na umuhimu wa kuwa na mwakilishi wa chama katika msiba huu; au
iii) Kuna uhasama wa kivyama sana ambao hatujaanza kuzikana kama Watanzania.
Wasizike ili na wao wasizikwe. Tumezoea upande wa Lowassa kutokuudhuria misiba ya watu kwani hata ule wa Sitta hakwenda. Kama huwezi ukasamehe hata maiti itawezekana vipi kwa walio hai?
 
Waulize ccm,watakuwa na majibu
Wabunge wa Upinzani hawakuhudhuria sababu ya woga waliogopa LOWASA mwenye chama kuwa atawaonaje wakienda msiba wa mtu alimkali kooni ripoti ya RICHMOND.Woga tu wa kumwogopa LOWASA ndio uliosababisha.Kila mtu anasema ohhooo uKIENDA lowasa atakuonaje? SHAURI YAKO.Wanamwogopa LOWASA kuliko kawaida
 
Wabunge wa Upinzani hawakuhudhuria sababu ya woga waliogopa LOWASA mwenye chama kuwa atawaonaje wakienda msiba wa mtu alimkali kooni ripoti ya RICHMOND.Woga tu wa kumwogopa LOWASA ndio uliosababisha.Kila mtu anasema ohhooo uKIENDA lowasa atakuonaje? SHAURI YAKO.Wanamwogopa LOWASA kuliko kawaida
Jpm pia ni Mbunge wa Upinzani? Au ulimuona msibani!

sent from my BBC using JamiiForums mobile app
 
Wasizike ili na wao wasizikwe. Tumezoea upande wa Lowassa kutokuudhuria misiba ya watu kwani hata ule wa Sitta hakwenda. Kama huwezi ukasamehe hata maiti itawezekana vipi kwa walio hai?
Mnaendaga kuzikaa? Hilo ndio swali. Kwa Ndesamburo Mlikuwepo? Unafiq huleta magonjwa

sent from my BBC using JamiiForums mobile app
 
Wabunge wa Upinzani hawakuhudhuria sababu ya woga waliogopa LOWASA mwenye chama kuwa atawaonaje wakienda msiba wa mtu alimkali kooni ripoti ya RICHMOND.Woga tu wa kumwogopa LOWASA ndio uliosababisha.Kila mtu anasema ohhooo uKIENDA lowasa atakuonaje? SHAURI YAKO.Wanamwogopa LOWASA kuliko kawaida


Ficha ujinga wako kwa kukaa kimya
 
Naandika kwa masikitiko makubwa sana............ Kwa kweli tumwombe Mungu sana tuangalie tumeanguka wapi..

Ilianza ftari mkashangaa imekuja la Mwakyembe nalo mtashangaa ili kiukweli ni muhimu kulifanyia kazi..
Maana sio utamaduni kabisa wa kutokuhudhuria,,,, na hapo Pombe anaona ni sawa kabisa Mungu atusaidie aisee
 
Unaacha kushangaa kutoonekana kwa Sizonje alafu unaulizia kutohudhuria kwa viongozi Wa Upinzani.

Poor you!
 
Vyama vya siasa viko zaidi ya 10. Kwa nini inafuatwa fuatwa Chadema tu??? Kwani Chadema imewavuruga nini hawa jamaa?
 
Back
Top Bottom