Kutongoza

kelvin94

Member
Oct 22, 2015
8
11
Hiv inakuaje mtu kwenye simu unaweza kutongiza demu lakini ukiwa nae live unakosa cha kuongea
Msaada plz!!!
 
zama za kutongoza zimeisha siku hizi mnambiana tu ukweli bila kificho
 
Kwani unatongoza ukitaka nini ? Ndiyo mana unakuwa na kigugumizi kwa sababu kutongoza ilikuwa enzi za utoto wangu. Siku izi nazungumza na vidada kuwa ninahamu ya kum duduzi yeye mwenyewe anajuwa nini kina endelea.. Una umri gani wewe Mtoto?
 
Acha utoto wewe , ngoja nikufundishe Mimi mzoefu, unamwambia demu mkutane Lodge mkazungumze yeye anakua ameelewa then unakula papuchi , angalizo kama wewe student rudi shule kasom e
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom