Wakuchanja Member Joined Oct 12, 2017 Posts 82 Reaction score 54 Nov 20, 2017 #1 Habari wanajamvi Imekua hali iliozoeleka kwangu mara zote , nikikutana na mwanamke uso kwa uso nikimuangalia tu bas sina hata haja yakutongoza. Swali laja, huwa kuna nini kwenye macho kiasi kwamba wanashindwa kuzuia hisia zao?
Habari wanajamvi Imekua hali iliozoeleka kwangu mara zote , nikikutana na mwanamke uso kwa uso nikimuangalia tu bas sina hata haja yakutongoza. Swali laja, huwa kuna nini kwenye macho kiasi kwamba wanashindwa kuzuia hisia zao?
kayeke JF-Expert Member Joined Nov 12, 2017 Posts 1,601 Reaction score 1,753 Nov 20, 2017 #2 Mmmmmh! Nawapisha watoe majibu wao.
Mwifwa JF-Expert Member Joined Apr 3, 2017 Posts 48,718 Reaction score 126,564 Nov 20, 2017 #3 Jicho ni kali sana
J jojipoji koromije JF-Expert Member Joined Mar 22, 2017 Posts 1,127 Reaction score 1,634 Nov 21, 2017 #4 Kukonyeza mwanamke ni kosa Kwa mujibu wa sheria. Naona jela inakuita.
Turnoff JF-Expert Member Joined Mar 11, 2016 Posts 764 Reaction score 913 Nov 21, 2017 #5 'Sasa hayo macho hatujayaona tutakujibu vipi?'......'ngoja nijiandae zangu kwenda kutafuta mkate wa kila siku'.
'Sasa hayo macho hatujayaona tutakujibu vipi?'......'ngoja nijiandae zangu kwenda kutafuta mkate wa kila siku'.
APEFACE JF-Expert Member Joined Oct 1, 2016 Posts 5,781 Reaction score 11,018 Nov 21, 2017 #6 Eye seduction inafanya kazi kama sumaku endapo unaijulia...Leonard DiCaprio anaijua vizuri hii mbinu
chambimagaka JF-Expert Member Joined Nov 17, 2017 Posts 288 Reaction score 338 Nov 21, 2017 #7 mambo mema
mansakankanmusa JF-Expert Member Joined Sep 30, 2010 Posts 4,161 Reaction score 801 Nov 21, 2017 #8 kuna mmoja namlia timing nashindwa
Nelson nely JF-Expert Member Joined Jan 25, 2014 Posts 4,251 Reaction score 2,870 Nov 21, 2017 #9 Wakuchanja said: Habari wanajamvi Imekua hali iliozoeleka kwangu mara zote , nikikutana na mwanamke uso kwa uso nikimuangalia tu bas sina hata haja yakutongoza. Swali laja huwa kuna nini kwenye macho kiasi kwamba wanashindwa kuzuia hisia zao? Click to expand... Acha kurembua
Wakuchanja said: Habari wanajamvi Imekua hali iliozoeleka kwangu mara zote , nikikutana na mwanamke uso kwa uso nikimuangalia tu bas sina hata haja yakutongoza. Swali laja huwa kuna nini kwenye macho kiasi kwamba wanashindwa kuzuia hisia zao? Click to expand... Acha kurembua
Wakuchanja Member Joined Oct 12, 2017 Posts 82 Reaction score 54 Nov 21, 2017 Thread starter #10 APEFACE said: Eye seduction inafanya kazi kama sumaku endapo unaijulia...Leonard DiCaprio anaijua vizuri hii mbinu Click to expand... Itakuwa kweli mkuu
APEFACE said: Eye seduction inafanya kazi kama sumaku endapo unaijulia...Leonard DiCaprio anaijua vizuri hii mbinu Click to expand... Itakuwa kweli mkuu
Wakuchanja Member Joined Oct 12, 2017 Posts 82 Reaction score 54 Nov 21, 2017 Thread starter #11 mansakankanmusa said: kuna mmoja namlia timing nashindwa Click to expand... Simple tu mkuuu
Demi JF-Expert Member Joined Nov 22, 2016 Posts 42,525 Reaction score 94,705 Nov 21, 2017 #12 Napenda kutongozwa kwa macho, namjibu kwa macho, tunakulana kwa macho halafu kila mmoja anapita hivi...
Napenda kutongozwa kwa macho, namjibu kwa macho, tunakulana kwa macho halafu kila mmoja anapita hivi...
mwanahabari93 JF-Expert Member Joined May 20, 2015 Posts 263 Reaction score 170 Nov 21, 2017 #13 demi said: Napenda kutongozwa kwa macho, namjibu kwa macho, tunakulana kwa macho halafu kila mmoja anapita hivi... Click to expand... nimeipenda
demi said: Napenda kutongozwa kwa macho, namjibu kwa macho, tunakulana kwa macho halafu kila mmoja anapita hivi... Click to expand... nimeipenda
Kichwa Kontena JF-Expert Member Joined Dec 28, 2015 Posts 661 Reaction score 565 Nov 21, 2017 #14 demi said: Napenda kutongozwa kwa macho, namjibu kwa macho, tunakulana kwa macho halafu kila mmoja anapita hivi... Click to expand... nitumie jicho lako basi
demi said: Napenda kutongozwa kwa macho, namjibu kwa macho, tunakulana kwa macho halafu kila mmoja anapita hivi... Click to expand... nitumie jicho lako basi
luckyline JF-Expert Member Joined Aug 29, 2014 Posts 15,153 Reaction score 21,788 Nov 21, 2017 #15 Wacha kwenye pesa afaidi vitamu, wewe kumaa na kupepesa makengeza.
Wgr30 JF-Expert Member Joined Jan 22, 2017 Posts 1,770 Reaction score 2,387 Nov 21, 2017 #16 luckyline said: Wacha kwenye pesa afaidi vitamu, wewe kumaa na kupepesa makengeza. Click to expand... pole mkuu haikuwa dhamila yako kuandika hivyo!!
luckyline said: Wacha kwenye pesa afaidi vitamu, wewe kumaa na kupepesa makengeza. Click to expand... pole mkuu haikuwa dhamila yako kuandika hivyo!!
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,506 Reaction score 18,872 Nov 21, 2017 #17 Sawa.....
mwekundu JF-Expert Member Joined Mar 4, 2013 Posts 22,477 Reaction score 21,025 Nov 21, 2017 #18 " Nakula kwa macho......"
Mkomavu JF-Expert Member Joined Jan 25, 2016 Posts 12,180 Reaction score 17,600 Nov 21, 2017 #19 demi said: Napenda kutongozwa kwa macho, namjibu kwa macho, tunakulana kwa macho halafu kila mmoja anapita hivi... Click to expand... Aaaah,,,,wapi jidanganye hivo hivo
demi said: Napenda kutongozwa kwa macho, namjibu kwa macho, tunakulana kwa macho halafu kila mmoja anapita hivi... Click to expand... Aaaah,,,,wapi jidanganye hivo hivo
Demi JF-Expert Member Joined Nov 22, 2016 Posts 42,525 Reaction score 94,705 Nov 21, 2017 #20 melkiorysaranga said: Aaaah,,,,wapi jidanganye hivo hivo Click to expand... Nini cha kudanganyika hapo?
melkiorysaranga said: Aaaah,,,,wapi jidanganye hivo hivo Click to expand... Nini cha kudanganyika hapo?