Hakuna mwanadamu awezae kuwa Salama nyakati zote,Salama pekee ni historia yako uliiishije na jamii.Leo Kabila na waandamizi wake wanaogopa awawezitembea huru ulaya au USA. Mkuu wa majeshi wa Kabila Didier Etumba alichezea kichapo Kwa dk 10 aliposhuka station Paris Bila msaada wa askari ingekuwa stori nyingine, spika wa Kabila ashachezea kichapo na wacongoman alipozuru ulaya.Salama pekee ni kutenda haki kesho mfumo umekutupa huna mamlaka, huna nguvu ,huna walinzi ni rahisi kulipiziwa kisasi. Karma is a bitch.Wazee wa mabao wamechezea.