Mimi sio CDM.Tangu Mamvi ahamie CDM, mmekuwa na ajenda gani ya maana zaidi ya kurukaruka bila mwelekeo? At least before mli-shine kama wapiga vita rushwa. Kweli wahenga hawakukosea waliposema mchawi mpe mwana amlee. Hicho ndo tunachokiona sasa, watu kama wamejazwa pamba au maji midomoni
Labda ccm ya malawi hii ya hpa ni mfu kabisa imebaki kutumia mabavu na uwongo mwingi kila kukichaMara nyingi nimekuwa nikiawaangalia viongozi wangu wa CHADEMA na hasa ngazi ya Taifa na kushindwa kuwaelewa kabisa namna wanavyoshughulikia mambo ambayo kimsingi yana maslahi kwa chama. Wamekuwa very disorganized. Kwa sasa ile nguvu ya chama as chama haionekani na badala yake imekuwa kama kila kiongozi anafanya mambo yake as long as yanamletea sifa yeye mwenyewe binafsi. Ikitokea mtu huyo akaacha kulisimamia jambo hilo basi huoni tena watu wengine wakilisemea kwa maslahi mapana ya chama. Nitatoa mifano:
Kuhama madiwani Arusha (Steering: Nassari na Lema)
Kimsingi issue hiyo ilikuwa na maslahi mapana kabisa ya chama, lakini unaona ngazi ya Taifa seems as if they don’t care. Ni Nassaari na Lema tu ndo wanaonekana kulikomalia sana. Mie nilidhani baada ya kupata ushahidi CDM taifa wangesimamia show mpaka kieleweke lakini kwa sasa hata huwaoni.
Issue ya Lissu (Steering: Mbowe)
Mbowe hataki kabisa mtu mwingine azungumzie suala la Lissu hata kama ni Mtendaji Mkuu kama vile SG. CDM ni taasisi kubwa hivyo taarifa hizo zingeweza kuwasilishwa hata na Katibu Mkuu lakini as long as mtu anataka popularity anazuia mtu yeyote kujihusisha na hilo.
Aidha kuna mambo mengi ambayo alikuwa akiyasimamia Lissu. Tangu aliposhambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana, mambo hayo hayazungumzwi tena na chama. Inaonekana kama hakuna mambo yanayosimamiwa na chama ngazi ya Taifa. Kiongozi yeyote anaweza kuliamsha dude na akalisimamia mwenyewe hadi mwisho.
Ubinafsi, wivu, kutaka sifa binafsi, na uchu wa madaraka kwa baadhi viongozi waandamizi wa chama ni tatizo kubwa sana. Kwa utaratibu huu sidhani kama CDM itashindana na CCM kwa kuwa wana nguvu nyingi na utaratibu unaoeleweka kutoka ngazi ya chini hadi Taifa. Upinzani wataendelea kuwa wasindikizaji tu kila mara, na CCM watatawala milele yote. Ikiwa kunakuwa na ubinafsi kiasi hiki basi wasiwalalamikiwe wale wanaokihama chama na kwenda CCM au vyama vingine.
Labda ccm ya malawi hii ya hpa ni mfu kabisa imebaki kutumia mabavu na uwongo mwingi kila kukicha
Ustawi kanipa mungu sio chama cha majambazi suguNdugu yangu unasemaje Mfu wakati ustawi ulionao ni kutokana na serikali ya chama hicho? Unatukana Mamba/Mkunga?
Wewe utaendelea kufraisha nafsi yako hapa JF lakini za kuingia mtaani itaendelea kubaki ni hadithi!!Labda sasa mtusambaratishe na mabomu kama rais wako kakutuma mwambie sasa tutaingia mitaani bora tufe au tuwe na democracy
Swissme
Maneno ya yule murro hata family imemkanaWewe utaendelea kufraisha nafsi yako hapa JF lakini za kuingia mtaani itaendelea kubaki ni hadithi!!
Toilet ukanyeI'm the school itself, where else should I go?
Toilet ukanye
Haijazuiliwa kabisa. Hata wale walioruhusiwa wanafanya hiyo mikutano? Mbona mnaomba vitu mkipewa mnazidiwa tena, au lengo lenu lilikuwa kuleta vurugu? Aliyekuambia tume haiko huru ni nani?1.Kama CCM inainuka kwanini mikutano halali ya siasa imezuiliwa?
2.Kama CCM inapeendwa kwanini haitaki tume huru ya uchaguzi?
NB : Sio lazima kunijibu you can choose to ignore me.
Utakuwa umezowea kulelewa na kupakatwa mana lumumba fc wengi wapumbavuHuyo Mungu wako ndo alikukabidhi kwa Serikali ya awamu ya 5 ili ulelewe
Utakuwa umezowea kulelewa na kupakatwa mana lumumba fc wengi wapumbavu
Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
Mshukuru shemeji yko kukuwezesha ununue tecno na kua mpumbavu kma wapumbavu wenzakoTangu umejua kutype unasumbua kweli, huna hoja za maana lakini unalazimisha uandike kitu
Mshukuru shemeji yko kukuwezesha ununue tecno na kua mpumbavu kma wapumbavu wenzako
Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
Ccm ishakufa kitambo bali sasa ipo kwenye oxygen tu siku mipira ikichomoka basi tunazika mzogaMara nyingi nimekuwa nikiawaangalia viongozi wangu wa CHADEMA na hasa ngazi ya Taifa na kushindwa kuwaelewa kabisa namna wanavyoshughulikia mambo ambayo kimsingi yana maslahi kwa chama. Wamekuwa very disorganized. Kwa sasa ile nguvu ya chama as chama haionekani na badala yake imekuwa kama kila kiongozi anafanya mambo yake as long as yanamletea sifa yeye mwenyewe binafsi. Ikitokea mtu huyo akaacha kulisimamia jambo hilo basi huoni tena watu wengine wakilisemea kwa maslahi mapana ya chama. Nitatoa mifano:
Kuhama madiwani Arusha (Steering: Nassari na Lema)
Kimsingi issue hiyo ilikuwa na maslahi mapana kabisa ya chama, lakini unaona ngazi ya Taifa seems as if they don’t care. Ni Nassaari na Lema tu ndo wanaonekana kulikomalia sana. Mie nilidhani baada ya kupata ushahidi CDM taifa wangesimamia show mpaka kieleweke lakini kwa sasa hata huwaoni.
Issue ya Lissu (Steering: Mbowe)
Mbowe hataki kabisa mtu mwingine azungumzie suala la Lissu hata kama ni Mtendaji Mkuu kama vile SG. CDM ni taasisi kubwa hivyo taarifa hizo zingeweza kuwasilishwa hata na Katibu Mkuu lakini as long as mtu anataka popularity anazuia mtu yeyote kujihusisha na hilo.
Aidha kuna mambo mengi ambayo alikuwa akiyasimamia Lissu. Tangu aliposhambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana, mambo hayo hayazungumzwi tena na chama. Inaonekana kama hakuna mambo yanayosimamiwa na chama ngazi ya Taifa. Kiongozi yeyote anaweza kuliamsha dude na akalisimamia mwenyewe hadi mwisho.
Ubinafsi, wivu, kutaka sifa binafsi, na uchu wa madaraka kwa baadhi viongozi waandamizi wa chama ni tatizo kubwa sana. Kwa utaratibu huu sidhani kama CDM itashindana na CCM kwa kuwa wana nguvu nyingi na utaratibu unaoeleweka kutoka ngazi ya chini hadi Taifa. Upinzani wataendelea kuwa wasindikizaji tu kila mara, na CCM watatawala milele yote. Ikiwa kunakuwa na ubinafsi kiasi hiki basi wasiwalalamikiwe wale wanaokihama chama na kwenda CCM au vyama vingine.
Yaani umejiunga leo jf kuja kuharisha mtandaoni?Mara nyingi nimekuwa nikiawaangalia viongozi wangu wa CHADEMA na hasa ngazi ya Taifa na kushindwa kuwaelewa kabisa namna wanavyoshughulikia mambo ambayo kimsingi yana maslahi kwa chama. Wamekuwa very disorganized. Kwa sasa ile nguvu ya chama as chama haionekani na badala yake imekuwa kama kila kiongozi anafanya mambo yake as long as yanamletea sifa yeye mwenyewe binafsi. Ikitokea mtu huyo akaacha kulisimamia jambo hilo basi huoni tena watu wengine wakilisemea kwa maslahi mapana ya chama. Nitatoa mifano:
Kuhama madiwani Arusha (Steering: Nassari na Lema)
Kimsingi issue hiyo ilikuwa na maslahi mapana kabisa ya chama, lakini unaona ngazi ya Taifa seems as if they don’t care. Ni Nassaari na Lema tu ndo wanaonekana kulikomalia sana. Mie nilidhani baada ya kupata ushahidi CDM taifa wangesimamia show mpaka kieleweke lakini kwa sasa hata huwaoni.
Issue ya Lissu (Steering: Mbowe)
Mbowe hataki kabisa mtu mwingine azungumzie suala la Lissu hata kama ni Mtendaji Mkuu kama vile SG. CDM ni taasisi kubwa hivyo taarifa hizo zingeweza kuwasilishwa hata na Katibu Mkuu lakini as long as mtu anataka popularity anazuia mtu yeyote kujihusisha na hilo.
Aidha kuna mambo mengi ambayo alikuwa akiyasimamia Lissu. Tangu aliposhambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana, mambo hayo hayazungumzwi tena na chama. Inaonekana kama hakuna mambo yanayosimamiwa na chama ngazi ya Taifa. Kiongozi yeyote anaweza kuliamsha dude na akalisimamia mwenyewe hadi mwisho.
Ubinafsi, wivu, kutaka sifa binafsi, na uchu wa madaraka kwa baadhi viongozi waandamizi wa chama ni tatizo kubwa sana. Kwa utaratibu huu sidhani kama CDM itashindana na CCM kwa kuwa wana nguvu nyingi na utaratibu unaoeleweka kutoka ngazi ya chini hadi Taifa. Upinzani wataendelea kuwa wasindikizaji tu kila mara, na CCM watatawala milele yote. Ikiwa kunakuwa na ubinafsi kiasi hiki basi wasiwalalamikiwe wale wanaokihama chama na kwenda CCM au vyama vingine.