Kutokana na sababu hii, CHADEMA inasambaratika na CCM inainuka

Tangu Mamvi ahamie CDM, mmekuwa na ajenda gani ya maana zaidi ya kurukaruka bila mwelekeo? At least before mli-shine kama wapiga vita rushwa. Kweli wahenga hawakukosea waliposema mchawi mpe mwana amlee. Hicho ndo tunachokiona sasa, watu kama wamejazwa pamba au maji midomoni
Mimi sio CDM.
Lakini msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Naona Kama unaingiza topic mpya hapa ya kumhusu Lowasa.
Hasa Unapohoji ajenda ya CDM tangu Mamvi aingie.

Mpaka sasa:-
Kile niNachojua,
Mkuu amepiga marufuku siasa za majukwaani, akidai mpaka 2020.
(Ajenda utaisikia wapi? Kama hakuna mikutano)

Ingawa yeye amekua akijipigia siasa Kama vile;- kuwapokea madiwani wapya wa CDM waliohamia CCM.(hapa napo IPO shida kwa mujibu WA kanuni za nchi na Takukuru)

Pia Mkuu apandapo jukwaani kwenyw majimbo ya wapinzani, haachi kuwalaumu wananchi wa majimbo kwa kuchagua wapinzani. Etc.(so sad!)

Amepiga marufuku maonbezi kwa Lisu,
amepiga marufuku Wabunge wa Upinzani iwe Bungeni au nje ya Bunge kukosoa serikali yake especially namna anavyotatua swala La Rasilimali za Taifa hususani madini yetu, bombadear yake.

Na Amemtaka Spika kutunga sheria mpya ili kuwadhibiti wapinzani WA Serikali yake ndani ya Bunge.

Yeye amekua hakimu na amekua bunge.

Mfano:-Ameonyesha waziwazi kumtetea Bashite aliyefoji Cheti. Kwa maana hii amezuia Takukuru(PCCB) wasifanye kazi yao.

Kupitia uongozi wake, CUF walinyimwa haki ya kushika dola kule Zanzibar.

Amepiga marufuku kujadili namna bashite alivgovamia chombo Fulani cha habari. Kudhihirisha hatanii akamfukuza kazi waziri wake wa habari kwa kuunda tume tu ya kumshauri. Which implies hashauriki! Kama asemavyo yeye mwenyewe kua anajiamini.

Mbali na wakina Roma kutekwa na kutokuruhusu uchunguzi. bado
Amepiga marufuku wasanii kuimba siasa.

Na wewe unashuhudia haya bado unahoji ajenda mpya ya CDM? Yaani hata wasanii wananyimwa ajenda!!?!.

Bado unafurahia kusikiliza mziki wa Uongo unaopigwa masikioni kwako militia gazeti LA Uhuru.
Ni kweli kua na macho sio kuona. IPO tofauti Kati ya kutazama na kuona.

Kama utaniuliza Mimi ajenda ya CDM. naona ni ile ya kupinga UDIKTETA.

Ndiyo ilioshika kasi Sana hapa nchini.

Mnyonge mnyongeni na haki yake mpeni. Utawala wa juu wa CCM umekua ukimuhofia Lowasa (unayemwita mamvi) kuliko kitu ingine. Na inaonyesha wangetamani wamtoa uhai ila ndo hivyo tena. Mungu hajaruhusu.
Pia napata picha kua lowasa sio WA nchi hii.
Kama aliweza kuwavuruga,na kuwagawa wana CCM kisha kwa mtazamo wako amemvuruga Dk Slaa with his ambition to become a President of Tanzania kupitia CDM 2015.

Huyu MTU sio WA kubeza hata kidogo. Maneno machache lakini his actions are louder. Chama chako pale Lumumba wanamjua zaidi.
Lowasa Hajawahi kumjibu MTU maneno ya kuudhi au kumtusi sijui mpumbavu, pigeni mbizi wivu wa kike nk.

Mpaka Leo kuna watu wanaendelea kufukuzwa ndani ya CCM kwasababu yake.
CCM ilibadili structure yake(Organogram) ili tu kudhohofisha mzimu wa Lowasa ndani ya chama Chao. Still bado mamvi amebaki kua Pasua kichwa na ajenda kuu mpaka 2020.
Kibaya kuliko vyote, hawawezi kumpata na kumuundia kashfa.
Kila wanalumumba wakisema wanatumbua jipu, wanaishia kutumbuana wao kwa wao.

And yet unaona haya ila huoni uzito wake.
Wakati nyerere alikua akipambana na maadui watatu kwa mpigo na wakamshinda wote.

Lowasa aliwahi kusema priority kubwa ya nchi ni Elimu, ya pili ni elimu ya tatu ni Elimu.
Kwakua igonarance imekua stumbling block ya kudumaza fikra huru.
 
Mara nyingi nimekuwa nikiawaangalia viongozi wangu wa CHADEMA na hasa ngazi ya Taifa na kushindwa kuwaelewa kabisa namna wanavyoshughulikia mambo ambayo kimsingi yana maslahi kwa chama. Wamekuwa very disorganized. Kwa sasa ile nguvu ya chama as chama haionekani na badala yake imekuwa kama kila kiongozi anafanya mambo yake as long as yanamletea sifa yeye mwenyewe binafsi. Ikitokea mtu huyo akaacha kulisimamia jambo hilo basi huoni tena watu wengine wakilisemea kwa maslahi mapana ya chama. Nitatoa mifano:

Kuhama madiwani Arusha (Steering: Nassari na Lema)

Kimsingi issue hiyo ilikuwa na maslahi mapana kabisa ya chama, lakini unaona ngazi ya Taifa seems as if they don’t care. Ni Nassaari na Lema tu ndo wanaonekana kulikomalia sana. Mie nilidhani baada ya kupata ushahidi CDM taifa wangesimamia show mpaka kieleweke lakini kwa sasa hata huwaoni.

Issue ya Lissu (Steering: Mbowe)

Mbowe hataki kabisa mtu mwingine azungumzie suala la Lissu hata kama ni Mtendaji Mkuu kama vile SG. CDM ni taasisi kubwa hivyo taarifa hizo zingeweza kuwasilishwa hata na Katibu Mkuu lakini as long as mtu anataka popularity anazuia mtu yeyote kujihusisha na hilo.

Aidha kuna mambo mengi ambayo alikuwa akiyasimamia Lissu. Tangu aliposhambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana, mambo hayo hayazungumzwi tena na chama. Inaonekana kama hakuna mambo yanayosimamiwa na chama ngazi ya Taifa. Kiongozi yeyote anaweza kuliamsha dude na akalisimamia mwenyewe hadi mwisho.

Ubinafsi, wivu, kutaka sifa binafsi, na uchu wa madaraka kwa baadhi viongozi waandamizi wa chama ni tatizo kubwa sana. Kwa utaratibu huu sidhani kama CDM itashindana na CCM kwa kuwa wana nguvu nyingi na utaratibu unaoeleweka kutoka ngazi ya chini hadi Taifa. Upinzani wataendelea kuwa wasindikizaji tu kila mara, na CCM watatawala milele yote. Ikiwa kunakuwa na ubinafsi kiasi hiki basi wasiwalalamikiwe wale wanaokihama chama na kwenda CCM au vyama vingine.
Labda ccm ya malawi hii ya hpa ni mfu kabisa imebaki kutumia mabavu na uwongo mwingi kila kukicha
 
Labda sasa mtusambaratishe na mabomu kama rais wako kakutuma mwambie sasa tutaingia mitaani bora tufe au tuwe na democracy


Swissme
Wewe utaendelea kufraisha nafsi yako hapa JF lakini za kuingia mtaani itaendelea kubaki ni hadithi!!
 
1.Kama CCM inainuka kwanini mikutano halali ya siasa imezuiliwa?

2.Kama CCM inapeendwa kwanini haitaki tume huru ya uchaguzi?

NB : Sio lazima kunijibu you can choose to ignore me.
 
1.Kama CCM inainuka kwanini mikutano halali ya siasa imezuiliwa?

2.Kama CCM inapeendwa kwanini haitaki tume huru ya uchaguzi?

NB : Sio lazima kunijibu you can choose to ignore me.
Haijazuiliwa kabisa. Hata wale walioruhusiwa wanafanya hiyo mikutano? Mbona mnaomba vitu mkipewa mnazidiwa tena, au lengo lenu lilikuwa kuleta vurugu? Aliyekuambia tume haiko huru ni nani?
 
Mara nyingi nimekuwa nikiawaangalia viongozi wangu wa CHADEMA na hasa ngazi ya Taifa na kushindwa kuwaelewa kabisa namna wanavyoshughulikia mambo ambayo kimsingi yana maslahi kwa chama. Wamekuwa very disorganized. Kwa sasa ile nguvu ya chama as chama haionekani na badala yake imekuwa kama kila kiongozi anafanya mambo yake as long as yanamletea sifa yeye mwenyewe binafsi. Ikitokea mtu huyo akaacha kulisimamia jambo hilo basi huoni tena watu wengine wakilisemea kwa maslahi mapana ya chama. Nitatoa mifano:

Kuhama madiwani Arusha (Steering: Nassari na Lema)

Kimsingi issue hiyo ilikuwa na maslahi mapana kabisa ya chama, lakini unaona ngazi ya Taifa seems as if they don’t care. Ni Nassaari na Lema tu ndo wanaonekana kulikomalia sana. Mie nilidhani baada ya kupata ushahidi CDM taifa wangesimamia show mpaka kieleweke lakini kwa sasa hata huwaoni.

Issue ya Lissu (Steering: Mbowe)

Mbowe hataki kabisa mtu mwingine azungumzie suala la Lissu hata kama ni Mtendaji Mkuu kama vile SG. CDM ni taasisi kubwa hivyo taarifa hizo zingeweza kuwasilishwa hata na Katibu Mkuu lakini as long as mtu anataka popularity anazuia mtu yeyote kujihusisha na hilo.

Aidha kuna mambo mengi ambayo alikuwa akiyasimamia Lissu. Tangu aliposhambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana, mambo hayo hayazungumzwi tena na chama. Inaonekana kama hakuna mambo yanayosimamiwa na chama ngazi ya Taifa. Kiongozi yeyote anaweza kuliamsha dude na akalisimamia mwenyewe hadi mwisho.

Ubinafsi, wivu, kutaka sifa binafsi, na uchu wa madaraka kwa baadhi viongozi waandamizi wa chama ni tatizo kubwa sana. Kwa utaratibu huu sidhani kama CDM itashindana na CCM kwa kuwa wana nguvu nyingi na utaratibu unaoeleweka kutoka ngazi ya chini hadi Taifa. Upinzani wataendelea kuwa wasindikizaji tu kila mara, na CCM watatawala milele yote. Ikiwa kunakuwa na ubinafsi kiasi hiki basi wasiwalalamikiwe wale wanaokihama chama na kwenda CCM au vyama vingine.
Ccm ishakufa kitambo bali sasa ipo kwenye oxygen tu siku mipira ikichomoka basi tunazika mzoga
 
Mara nyingi nimekuwa nikiawaangalia viongozi wangu wa CHADEMA na hasa ngazi ya Taifa na kushindwa kuwaelewa kabisa namna wanavyoshughulikia mambo ambayo kimsingi yana maslahi kwa chama. Wamekuwa very disorganized. Kwa sasa ile nguvu ya chama as chama haionekani na badala yake imekuwa kama kila kiongozi anafanya mambo yake as long as yanamletea sifa yeye mwenyewe binafsi. Ikitokea mtu huyo akaacha kulisimamia jambo hilo basi huoni tena watu wengine wakilisemea kwa maslahi mapana ya chama. Nitatoa mifano:

Kuhama madiwani Arusha (Steering: Nassari na Lema)

Kimsingi issue hiyo ilikuwa na maslahi mapana kabisa ya chama, lakini unaona ngazi ya Taifa seems as if they don’t care. Ni Nassaari na Lema tu ndo wanaonekana kulikomalia sana. Mie nilidhani baada ya kupata ushahidi CDM taifa wangesimamia show mpaka kieleweke lakini kwa sasa hata huwaoni.

Issue ya Lissu (Steering: Mbowe)

Mbowe hataki kabisa mtu mwingine azungumzie suala la Lissu hata kama ni Mtendaji Mkuu kama vile SG. CDM ni taasisi kubwa hivyo taarifa hizo zingeweza kuwasilishwa hata na Katibu Mkuu lakini as long as mtu anataka popularity anazuia mtu yeyote kujihusisha na hilo.

Aidha kuna mambo mengi ambayo alikuwa akiyasimamia Lissu. Tangu aliposhambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana, mambo hayo hayazungumzwi tena na chama. Inaonekana kama hakuna mambo yanayosimamiwa na chama ngazi ya Taifa. Kiongozi yeyote anaweza kuliamsha dude na akalisimamia mwenyewe hadi mwisho.

Ubinafsi, wivu, kutaka sifa binafsi, na uchu wa madaraka kwa baadhi viongozi waandamizi wa chama ni tatizo kubwa sana. Kwa utaratibu huu sidhani kama CDM itashindana na CCM kwa kuwa wana nguvu nyingi na utaratibu unaoeleweka kutoka ngazi ya chini hadi Taifa. Upinzani wataendelea kuwa wasindikizaji tu kila mara, na CCM watatawala milele yote. Ikiwa kunakuwa na ubinafsi kiasi hiki basi wasiwalalamikiwe wale wanaokihama chama na kwenda CCM au vyama vingine.
Yaani umejiunga leo jf kuja kuharisha mtandaoni?
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom