kutoka uwanja wa Mbowe karatu

Crashwise

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
22,227
Reaction score
8,760
Ule mkutano mkubwa ulio kuwa unasubiliwa kwa hamu na watanzania hasa wana karatu unategemea kuanza mida ya saa kumi lakini mpaka sasa watu ni wengi sana kwenye uwanja wa Mbowe hapa karatu pamoja na mvua kuendelea kunyesha. Viongozi tunao watazamia hii leo ni viongozi mbalimbali wa mkoa na kitaifa Arusha katibu Amani, Menyekiti(Mwigamba), Nasari, Benson Kigaila na kamanda wa anga Freeman Mbowe..
Nitaendelea kuwa letea dondoo za mkutano huu pamoja na picha za baadhi ya matukio, mlioko hapa kwenye mkutano tushirikiane kuwa juza wana JF..
======
pics

Mbunge wa Arumeru mashariki kamanda Joshua Nasari

Mbunge wa viti maalumu Pareso


Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Freeman Mbowe akihutubia wananchi wa karatu kwenye uwanja wa Mbowe

Kamanda Natse

Umati wa wananchi wilaya ya karatu waliojitokeza kisikiliza sera za chama cha Demkrasia na Maendeleo kwenye uwanja wa Mbowe
Pareso
 
Picha, picha mkuu. Tuko pamoja na Mungu wao wana matunguri
 
Tuko pamoja crash na tunashukuru kwa taarifa.
 
Kwako mkuu naimani uzi huu utakuwa na picha za kusapoti haya maneno vizuri kabisa,nakuaminia sana Mkuu
 
Mkuu crash nadhani ulilenga kusema benson kigaila na si nelson kigaila ambaye mkurugenzi wa mafunzo na ufundi makao makuu....kama ndivyo hakuna kinachoharibika kamanda tuko pamoja nai ktk kuweka rekodi sawa
 
Mkuu crash nadhani ulilenga kusema benson kigaila na si nelson kigaila ambaye mkurugenzi wa mafunzo na ufundi makao makuu....kama ndivyo hakuna kinachoharibika kamanda tuko pamoja nai ktk kuweka rekodi sawa
Nimesha rekebisha mkuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…