Kutoka Uchaguzi wa CUF Zanzibar - Matokeo

Kutoka Uchaguzi wa CUF Zanzibar - Matokeo

5523

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2014
Posts
2,290
Reaction score
2,431
Haya ni baadhi ya matoke ya uchaguzi kwa baadhi ya viti vya ubunge na uwakilishi uchaguzli ulifanyika leo. Rajab Mbarouk na Moh'd Ngwali wakionekana kuangushwa. nitakuwa natupia kila nipatapo results kamili

Ole Mbunge
Wakili
Sleman 105,
Rajabu Mbarouk Moh'd 103,
Rashid Khamis 69

Wete Ubunge zote 233-
Mbarouk 131,
Seif 60 na
Mwadini 30.
(12) zimeharibika.

Ubunge ni hivi kwa mpendae.
Omar Mohd Omar 23
Sleiman Khamis Ali 19
Na Fakih Abdallah Pandu 9

Chake Chake Uwakilishi
Omar Ali Shehe - 106
Ali Bakar - 97
Mohd Subeit – 27

Jimbo la Kiembe Samaki Mansour wapiga kura wote ni 37 , kura zilizoharibika 0 na alizopata 37 sawa na 100%

Mji Mkongwe Ubunge Mwalim Sanya 57, Mohammed Noor kura 29, na Ally Saleh Alberto kura 21

Jimbo ala Dimani Uwakilishi. Kura zote 132. Siba kura 4. Hemed Pilot kura 14. Khalid Gwiji kura 113

Chanzo Kikuu: Mimi mwenyewe
 
Timu nzuri hio sio mbaya. Nec ya ccm wameshindwa kufanya mkutano wao... Wanagwaya gwaya tu
 
Hapo kwenye red sijaelewa lakini chini umeelekeza mujarabu.
Ole Mbunge
Wakili
Sleman 105,
Rajabu Mbarouk Moh’d 103,
Rashid Khamis 69[/COLOR]
=======================
Jimbo la Kiembe Samaki Mansour wapiga kura wote ni 37 , kura zilizoharibika 0 na alizopata 37 sawa na 100%
 
Tuleteeni na matokeo ya nafasi ya mgombea urais Tanzania
 
Magogoni Ubunge
Saleh Moh'd Saleh 48
Salum Mussa Haji 18
Hamadi Ali Hamad 37

Jimbo la Kojani Uwakilishi
Salim bakar Salim 123
Hassan Hamad kura 113 (mwakilishi wa zamani)
 
mkuu ally saleh huyu tunaemjua au??? na jussa vipi hajagombea???
 
Ziwani. Ubunge
Ahmed Juma Ngwali 158,
Nassor Suleiman 112
na Asma 27.
 
Gando. Saidi ALI Mbarouk Kashinda Uwakilishi na Khalifa Kaangushwa Ubunge.
 
Uwakilishi: Ole Hamad Massoud kapata kura 218
wa pili Yussuf Abdi 42
na Yussuf Muhudhani 3.
 
Wawi Ubunge Juma Hamad wa kwanza,(Aliwahi kuwa waziri wa Mambo ya Ndani CCM Zanzibar Enzi hizo)ikumbukwe kwamba huyu ndio mbadala wa Hamad Rashid ambae kwa sasa tunasema ni Msaliti - Elimu yake ni Mastaz

Mwalim Ayoub Yussuf Mgeni wa pili

uwakilishi
Khalifa wa
kwanza na Maalim Saleh 2.
 
Mtambwe Uwakilishi Maruhuni 108, ubunge Khalif Moh`d Issa Mbunge 1995.
 
Back
Top Bottom