Kutoka magazetini ya ITV

Kutoka magazetini ya ITV

matubara

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2012
Posts
226
Reaction score
90
Wadau naomba kujua,hivi ITV wanajua idadi ya Watanzania wanaoweza kununua magazeti? Habari zao wanabipu tu kisha wanasema habari zaidi ni ukurasa wa 4 kana kwamba magazeti yanawafikia wananchi wote. Tupeni walau habari chache lakini kwa kina acheni kudonoadonoa. Jifunzeni kutoka RFA etc!
 
Tune star tv wangu. wanasoma deep.
 
kanunue gazeti acha ubahiri pale umeambiwa ni undondozi tu
 
kosomewa yote ni hatari.magazeti hayatauza na watakosa pa kusoma cku zijazo.acha dezo nunua magazeti waandishi wa habari wanataka mshahara na kampuni zipate ela ya kujiendesha.eti watanzania wote hawana uwezo wa kununua ata maji yanauzwa.watu bana.tumia akili kidogo kufikiri
 
afu ukumbuke itv is owned by ipp media ambayo ina magazeti mengi.effect wanaijua na hasara wanapata wao ni tofauti na channel ten na rfa ambao wana magazeti yanayoishia mwanza tu.so as such they are right ili cocompasate running cost kaka.ao wengine hawajui uchungu wala gharama as they dont produce gharama yao ni kununua gazeti la mia 5!!!
 
bora ata ya itv kuna sibuka tv yani wanasoma gazeti lote kama nusu hivi sijui hawajui utaratibu.
 
Sikiliza radio maria saa mbili na nusu asbh, wanakusomea kiundani hadi hbr za kimataifa
Wadau naomba kujua,hivi
ITV wanajua idadi ya Watanzania wanaoweza kununua magazeti? Habari zao
wanabipu tu kisha wanasema habari zaidi ni ukurasa wa 4 kana kwamba
magazeti yanawafikia wananchi wote. Tupeni walau habari chache lakini
kwa kina acheni kudonoadonoa. Jifunzeni kutoka RFA etc!
 
Kama waweza kuingia internet ingia na usome magazeti kibao acha uvivu.
 
Kweli hata kama ni kulinda biashara ya magazeti Redio One/ITV wanadonoa sana, big up RFA, Wapo Radio fm, Radio Maria na Clouds fm kwa mbaaaali japo wao wanasoma chache sana lakini walau wanaingia deep kidogo
 
Back
Top Bottom