Wakati wa awamu ya kwanza enzi za mwalimu Nyerere Katibu wa CCM ( M) ndiye alikuwa Mkuu wa mkoa labda nianzie hapo.
Kwa utaratibu wa sasa Mwenyekiti akipata uteuzi inabidi ajiuzulu aende kwenye utumishi mpya, tumeiona hiyo kwa Zambi wa Lindi, Chalamila wa Mbeya na huyu wa jana wa Arusha.
Je, kiitifaki na kimadaraka yupi yuko juu ya mwenzie kati ya huyu mwenye ilani na yule anayetekeleza ilani.
Nitashukuru kwa majawabu yenu waungwana
Maendeleo hayana vyama!