Kutoka kuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa hadi Mkuu wa mkoa kiitifaki ni kupanda au kushuka cheo?

Mkubwa ni yule mwenye uwezo wa kumuagiza mwingine afanye na bila kujali lolote anafanya. Nani ,kati ya waziri na KM wa CCM anaweza kumuigiza mwenzake?

Sasa hivi haijalishi cheo ulicho kiprotocal, bali anayejipendekeza zaidi kwa Magufuli ndio mwenye nguvu.
 
We ajuza wa lumumba una maswahili ya kipuuzi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…