Kutoka Kanisa Ufufuo na Uzima: Gwajima awazungumzia Diamond, Halima Mdee kumtusi Spika na Utekaji

HaMachiach

JF-Expert Member
Dec 15, 2015
3,399
6,077




Askofu Gwajima katika Ibada ya Jumapili amezungumzia vitu/watu watatu nchi Tanzania.

Amezungumza kuhusu Diamond kumshambulia katika wimbo wake, na amesema mtu wa Mungu huwa hashambuliwi na binadamu. Amedai kuwa atazungumzia kuhusu Diamond kujiunga Chama cha Freemason na alijiunga lini, wapi na kafara gani alitoa ili aweze kukubaliwa kujiunga. Mchungaji Gwajima alishusha pumzi na kusema hatamoiga Diamond baada ya Diamond kujirudi na kumuomba msamaha Askofu Gwajima. Mchungaji Gwajima ameinukuu Biblia na kusema inakataza kumchapa/kumpiga mtu aliyeomba msamaha.

Kuhusu Makonda, Askofu Gwajima amesema Bashite anahusika kwa utekaji wa Msanii Roma, amesema mtu huyo huyo aliyevamia kituo cha Habari Clouds Media ndiye huyo huyo mtekaji kwasababu ana mtu wa kumkingia kifua. Pia amemtaka Bashite akajifiche huko kwenye Balozi kama Congo na kwingineko ili akajiendeleze na Elimu ya QT au MEMKWA maana akibako hapa Tanzania watu watamgawana akiingia mtaani.

Askofu Gwajima kuhusu Halima Mdee kumtukana Spika wa Bunge la Jamhuri, amemtaka Mbunge Halima Mdee kuacha mara moja kumtukana Spika maana ni moja ya Mhimili wa Dola. Amesema kuwa Halima Mdee asipoomba msamaha basi Jumapili ijayo atamchapa ipasavyo.

Askofu
 
Huyo mzee anaudhalilisha Ukristo.

Kavunja ndoa ya Emmanuel Mbasha, atuambie Flora Mbasha kapataje mimba akiwa ndani ya ndoa na kakiri wazi kwa maandishi kuwa mtoto si wa Emmanuel.

Sina nguvu ya kuhukumu, lkn nawashangaa sana wakristo wenzangu wanaoutafuta uso wa Mungu kupitia huyo mzee.

Kama analipenda taifa kwanini asiseme ukweli hata kama hajachokozwa kwa maslahi mapana ya taifa. Such a moron!!
'Honest is an expensive gift do not expect it from cheap people' ~ Warren Buffet.
 
Kwanza Mond katumia vibaya jina la JK Nyerere kama katiba inavyosema ageuzwe tu kuwa maji
IMG-20170409-WA0012.jpg
 
Huyo mzee anaudhalilisha Ukristo.

Kavunja ndoa ya Emmanuel Mbasha, atuambie Flora Mbasha kapataje mimba akiwa ndani ya ndoa na kakiri wazi kwa maandishi kuwa mtoto si wa Emmanuel.

Sina nguvu ya kuhukumu, lkn nawashangaa sana wakristo wenzangu wanaoutafuta uso wa Mungu kupitia huyo mzee.
Hakuna ukristo hapo. Ni biashara tu inayofanyika LIVE bila hata kulipa kodi mtu anaingiza mamilioni kila wiki
 
Huyo mzee anaudhalilisha Ukristo.

Kavunja ndoa ya Emmanuel Mbasha, atuambie Flora Mbasha kapataje mimba akiwa ndani ya ndoa na kakiri wazi kwa maandishi kuwa mtoto si wa Emmanuel.

Sina nguvu ya kuhukumu, lkn nawashangaa sana wakristo wenzangu wanaoutafuta uso wa Mungu kupitia huyo mzee.

Kama analipenda taifa kwanini asiseme ukweli hata kama hajachokozwa kwa maslahi mapana ya taifa. Such a moron!!
'Honest is an expensive gift do not expect it from cheap people' ~ Warren Buffet.
Wewe hujui lolote umemezeshwa tu hujui mama Wa flora na mama Wa gwajima ni Dada na dogo unapuyanga tu muwemnauliza daman
 
Back
Top Bottom