Lekakui
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,451
- 589
Hawa CCM kwa kweli sio wazima hata kidogo..yaani kuna jamaa kapanda jukwaani kwenye mkutano unaoendelea Iringa hakuna anachoongea tangu ameanza. Anasiliba upinzani tu na kutisha wananchi badala ya kunadi sera zao kwa wananchi. Ajabu ni wananchi wanaoshangilia ndio hawajielewi hata robo.... hakyanani hii nchi inawajinga wengi
kaka miaka 50 madarakani huwezi kuwa na jipya la kusema,kikubwa ni kujengea watu uwoga na kuwahadaa