maliyamungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 564
- 412
Ni kweli akili za wana magamba100 ni sawa na mbuzi 4 !! Mimi binafsi nikimkuta mtu wa magamba kadondokewa na mti nachukua jiwe naliweka juu.. Nipo Dodoma hoteli jamaa wa magamba wanakula bata yani Ma wine jd bia cheep ni Heineken but wabunge wa chadema wapo Sita wanapiga meeting... Aisee kwa bata zao hata posho ya laki 8 ni ndogo mungu bariki Tanzania.