Tman900
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 969
- 3,065
Kuna Rafiki yangu ana owa kesho.
Ametoa Kadi za Mualiko. Sasa Kuna Baadhi ya Rafiki Zetu wanasema angetoa hata kadi za mchango.
Naomba ufafanuzi wenu kwani kutoa Kadi za Mualiko au Kuto kuomba watu michango ya kuendeshea shunghuli yako unaweza athiri Jamii au Rafiki zako.
Kwa mtazamo wangu nimeona ni Jambo la kawaida tu, maana ni maamuzi ya mtu.
Ila Kuna mtu mmoja yeye analalama kua Bora tungechangishwa, kuliko kwenda kula na kunywa Bure.
Mi nimeletewa Kadi ila kwa kesho Ratiba yangu ni ngumu kwenda kwenye hiyo Harusi.
Sasa Hawa waendaji povu linawatoka.
Ametoa Kadi za Mualiko. Sasa Kuna Baadhi ya Rafiki Zetu wanasema angetoa hata kadi za mchango.
Naomba ufafanuzi wenu kwani kutoa Kadi za Mualiko au Kuto kuomba watu michango ya kuendeshea shunghuli yako unaweza athiri Jamii au Rafiki zako.
Kwa mtazamo wangu nimeona ni Jambo la kawaida tu, maana ni maamuzi ya mtu.
Ila Kuna mtu mmoja yeye analalama kua Bora tungechangishwa, kuliko kwenda kula na kunywa Bure.
Mi nimeletewa Kadi ila kwa kesho Ratiba yangu ni ngumu kwenda kwenye hiyo Harusi.
Sasa Hawa waendaji povu linawatoka.