svc
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 429
- 157
Kuna yeyote mwenye experience ya kutoa mzigo bandarini ndani ya siku 21 bila ya kuanza kulipa gharama za ziada za daily storage fees kwa makampuni binafsi kama Azam?
Experience yangu inaonyesha clearing & forwarding agents hawawezi kutoa mzigo chini ya siku 21, hata uwe umewakilisha documents zote mapema kabla meli haijatia nanga bandarini, na una fedha za kutosha kulipia kodi za TRA na gharama nyingine zote wakati process ya kutoa mzigo inaendelea.
Lazima itazidi siku 21 ili watu kama Bakhresa na wengineo wenye container yards binafsi wadai thousands of dollars in unnecessary storage fees na upuuzi mwingine.
Nadhani kuna ushirikiano kati ya clearing agents, customs na kampuni binafsi zinazomiliki container yards kuchelewesha mzigo ya wateja makusudi ili watozwe gharama kubwa za storage, ku-move container ndani ya yard na kuliweka chini ili lipakuliwe, na gharama lukuki wanazotoza.
Experience yangu inaonyesha clearing & forwarding agents hawawezi kutoa mzigo chini ya siku 21, hata uwe umewakilisha documents zote mapema kabla meli haijatia nanga bandarini, na una fedha za kutosha kulipia kodi za TRA na gharama nyingine zote wakati process ya kutoa mzigo inaendelea.
Lazima itazidi siku 21 ili watu kama Bakhresa na wengineo wenye container yards binafsi wadai thousands of dollars in unnecessary storage fees na upuuzi mwingine.
Nadhani kuna ushirikiano kati ya clearing agents, customs na kampuni binafsi zinazomiliki container yards kuchelewesha mzigo ya wateja makusudi ili watozwe gharama kubwa za storage, ku-move container ndani ya yard na kuliweka chini ili lipakuliwe, na gharama lukuki wanazotoza.