Habarini wandugu!
Ninaomba anayefahamu dawa ya kutoa makovu anifahamishe kama ipo na inapatikana wapi na jinsi ya kutumia, pia inachukua muda gani mpaka kovu kufutika. Natanguliza shukrani
inategemea ni makovu yaliyosababiswa na nini kama ni moto au ajali pengine itahitaji dawa maalumu ikiwa ni yaliyosababiswa na upele au ukurutu basi ni rahisi iko dawa moja imetengenza kwa miti shamba tu ambayo utaipaka na kumaliza tatizo lako sijui sana kuhusu dawa hizi zinazoitwa za kizungu kwa kuondoa makovu ila hiyo ya miti shama inapatika mmjoa ule Arusha Tanzania kama unahitaji ni-email kwa kitalolo@gmail.com then tuone jinsi ya kukupati pia kwa wale wote wanye magonjwa mbali mbali zipo dawa za nitishamba zenye uwezo wa kutibu malari, sukari, matatizo ya kuumwa miguu pamoja na viongo, tumbo ikiwa ni pamoja na vidonda vya tumbo , HBp, pamoja na dawa za kuinua kinga ya mwili, na mengineyo mengi kwa ushauri mnaweza kuni-email huwa unaweza kutumiwa dawa maali uliko ilimradi uwe na vipimo vya hosp kuthibitisha ugonjwa wako ili uweze kupatiwa dawa sahihi
check out this one as well - bio oil
http://www.bio-oil.com/en/scars/index.html
Price: about 15,000 Tshs.