PostGE2025 Kutishia kuwafungia META ni kujitisha

PostGE2025 Kutishia kuwafungia META ni kujitisha

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

OLS

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2019
Posts
457
Reaction score
773
Larry Madowo ameendelea kujichukulia point muhimu kwa sakata linaloendelea Tanzania. Hivi karibuni amewahoji META sababu za kufungia akaunti za Mange, Maria Sarungi na SATIVA ambapo wamesema wasingezifungia TCRA iliwaambia wangewazuia kuoperate Tanzania.

Ushajiuliza kuzuia META ku-oparate Tanzania kuna faida gani? Unadhani serikali yote watahamia X, mtandao ambao pia wameufungia, si watazidi kuonekana wanafiki wa kufungia huku wenyewe wakiendelea kutumia? Lakini pia wako vijana wengi wanatumia META kufanya biashara ikiwa ni pamoja na kuuza vitu na maudhui hali inayowafanya wajikimu kimaisha. Hivi unadhani kundi hili litaenda wapi baada ya kufungia META, je watazima au kuzidisha tishio la maandamano nchini?

Tunako kwa kuwapeleka hawa vijana wanaonufaika na META?Wakati tunajifananisjha na China ambao wanamitandao yao, je sisi tuna mitandao yetu ya kuleta ushindani kwenye soko la dunia?
 
Wametishiwa na account za huyo nyumbu mwenzenu kigagula mange zimefutwa , nyumbu mmezoea kufungia akili kabatini na kutumia akili za kigagula sijui hata kama mmebaki na akili ya kuvukia barabara
 
Wafunge tu kwani wao watapata wapi taarifa? Wakitumia VPN na sisi tutatumia, kama ni simu wanazo tunazo, Ngoja tukomae nao.

Kwanza serikali yenyewe ndio hii ya kina Wanu? Watu wenyewe tulisoma nao tunawajua vizur akili zao, ingekuwa wamejaa wale maguru tunaowajua tungesema tumekwisha ila hawa failures tunajua wapi tutawakwamisha, waambieni huku kitaa kumejaa wataalamu na watu wenye akili kubwa kuliko kina Abdul, tena acha wafunge kabisa tutakuja na mitandao yetu hawataamini
 
Meta hawajajiongeza kidogo tu, na ninadhani ni kwa sababu hawajui watanzania wanavyoipenda Instagram, WhatsApp and Facebook.

Wangekuwa wanaujua ukweli huu wangedinda na samuya asingeweza kuifungia Meta maana nchi nzima hadi chawa wake wangeandamana
 
Pamoja na ujinga wa Samia na Serikali yake hawawezi kufungia META hilo lilikuwa biti tu.

Ukifungia META maanake unataka kuua makampuni ya simu. Kwa sababu income yao kubwa wanaipata kutokana na mauzo ya bundle, sasa mwananchi atanunua bundle la nini kama whatsapp,facebook, instagram hazipatikani?

Na Serikali itakusanya kodi kiasi gani kutoka kwenye makampuni ya simu ambayo revenue yao imeshuka??

Hizi akiri ccm na serikali yake huwa wanazipata wapi??
 
Pamoja na ujinga wa samia na serikali yake hawawezi kufungia META hilo lilikuwa biti tu. Ukifungia META maanake unataka kuua makampuni ya simu. Kwa sababu income yao kubwa wanaipata kutokana na mauzo ya bundle, sasa mwananchi atanunua bundle la nini kama whatsapp,facebook, instagram hazipatikani??
Na serikali itakusanya kodi kiasi gani kutoka kwenye makampuni ya simu ambayo revenue yao imeshuka??

Hizi akiri ccm na serikali yake huwa wanazipata wapi??
Umeandika vyema sana ila apo kwenye "akiri" mtu wangu.
 
Pamoja na ujinga wa samia na serikali yake hawawezi kufungia META hilo lilikuwa biti tu. Ukifungia META maanake unataka kuua makampuni ya simu. Kwa sababu income yao kubwa wanaipata kutokana na mauzo ya bundle, sasa mwananchi atanunua bundle la nini kama whatsapp,facebook, instagram hazipatikani??
Na serikali itakusanya kodi kiasi gani kutoka kwenye makampuni ya simu ambayo revenue yao imeshuka??

Hizi akiri ccm na serikali yake huwa wanazipata wapi??
Kama walifungia mitandao siku Sita. Hawashindwi wale.
Akíli hawana.

Kama unamiliki tech Company. Hama tu. Tz hakufai
 
Pamoja na ujinga wa samia na serikali yake hawawezi kufungia META hilo lilikuwa biti tu. Ukifungia META maanake unataka kuua makampuni ya simu. Kwa sababu income yao kubwa wanaipata kutokana na mauzo ya bundle, sasa mwananchi atanunua bundle la nini kama whatsapp,facebook, instagram hazipatikani??
Na serikali itakusanya kodi kiasi gani kutoka kwenye makampuni ya simu ambayo revenue yao imeshuka??

Hizi akiri ccm na serikali yake huwa wanazipata wapi??
Kama tiktok inavyokula bando walivyoifungia kuna kitu kimepungua kwenye manunuzi ya bando za internet kwa wale wapenda TikTok
 
Wametishiwa na account za huyo nyumbu mwenzenu kigagula mange zimefutwa , nyumbu mmezoea kufungia akili kabatini na kutumia akili za kigagula sijui hata kama mmebaki na akili ya kuvukia barabara
mke mdogo wa abdul kwenye ubora wake!
 
Hata mimi nilishangaa labda zibaki kuwa ni habari za hapa na pale tu
 
Yaani yote hii inaletwa na kuwapa madaraka watu wasio na weledi, wauaji, mafisadi, wasio fuata utawala wa sheria, wanaopenda kusifiwa, wasio taka kusikia wakikosolewa.
 
Wametishiwa na account za huyo nyumbu mwenzenu kigagula mange zimefutwa , nyumbu mmezoea kufungia akili kabatini na kutumia akili za kigagula sijui hata kama mmebaki na akili ya kuvukia barabara
Kuna watu wanakuita baba?
Au boss?
Mchango wako kwa Taifa ni mdogo saaana!
 
Pamoja na ujinga wa samia na serikali yake hawawezi kufungia META hilo lilikuwa biti tu. Ukifungia META maanake unataka kuua makampuni ya simu. Kwa sababu income yao kubwa wanaipata kutokana na mauzo ya bundle, sasa mwananchi atanunua bundle la nini kama whatsapp,facebook, instagram hazipatikani??
Na serikali itakusanya kodi kiasi gani kutoka kwenye makampuni ya simu ambayo revenue yao imeshuka??

Hizi akiri ccm na serikali yake huwa wanazipata wapi??
Umeongea kitu chenye logic kubwa sana na sitaki kuamini kabisa kwamba hiki unachokisema Meta hawajakiona

Ninacho amini Mimi ni kwamba meta itakuwa wamepewa 30percent Fulani ili wafungie hizo acc ila wanashindwa kuwa wakweli , Meta wame hongwa + vitisho
 
Umeongea kitu chenye logic kubwa sana na sitaki kuamini kabisa kwamba hiki unachokisema Meta hawajakiona

Ninacho amini Mimi ni kwamba meta itakuwa wamepewa 30percent Fulani ili wafungie hizo acc ila wanashindwa kuwa wakweli , Meta wame hongwa + vitisho
Wana hongwaje na vitisho gani vya kutekwa, kulawitiwa, kupotezwa na kuuwawa?
 
Wametishiwa na account za huyo nyumbu mwenzenu kigagula mange zimefutwa , nyumbu mmezoea kufungia akili kabatini na kutumia akili za kigagula sijui hata kama mmebaki na akili ya kuvukia barabara
 
Pamoja na ujinga wa Samia na Serikali yake hawawezi kufungia META hilo lilikuwa biti tu.

Ukifungia META maanake unataka kuua makampuni ya simu. Kwa sababu income yao kubwa wanaipata kutokana na mauzo ya bundle, sasa mwananchi atanunua bundle la nini kama whatsapp,facebook, instagram hazipatikani?

Na Serikali itakusanya kodi kiasi gani kutoka kwenye makampuni ya simu ambayo revenue yao imeshuka??

Hizi akiri ccm na serikali yake huwa wanazipata wapi??
Kwailo usibishe inawezekana kwani wao wanaangalia athari basi wao wanataka kutembea na vingora na kukwapua pesa za walipa kodi
 
Back
Top Bottom