Katika vitu vilivyonishinda ni nyusi ,nina nyingi sana nikitinda leo kesho haya hapa juu yamesimama ,nimejitahidi wapi ,nimeacha ila sipendezi kabisa
Kila siku nakwambia nkuoe hutaki , kwa nini lakini?
Kama umeamua kutinda nyusi zingatia kujua shape ya uso wako, usije ukabugi ukaonekana kituko maana mtindo wa kutinda huendana na shape ya uso..!
Kama vipi bora uzichane na kitana then uzishape na kitana kwa juu waweza weka na ka jelly kwa mbaali ili zisichanguke, mie sitindi nyusi na sijawahi kutinda ila nikizichana kama nilivyokuelekeza mtu anaweza zani kuwa nimetinda!!!!
Kama kichwa cha miguu kinavyojieleza.
Sijawahi tinda nyusi, ila kutokana na evolution ninayopitia nataka nianze kutinda. Nasikia ukitinda kwa wembe jicho linakomaa na kutinda kwa uzi inauma kama nini.
Kuna wengine wanatinda kwa twiza(matamshi sio maandishi) haiumi sana na ni nzuri, ni wapi wanatoa huduma hiyo?
Afu mods, tuwekeeni basi ki sub-sub-sub forum cha urembo? Najua fani imevamiwa.
cc snowhite King'asti watu8
Mie nilishawahi kutinda mara moja.
Ngoja nije nijaribu kwa mara nyingine tena.
Ila urembo bana . . . yataka moyo!
Haki ya mbuzi... Zombie mpaka asalimu amri, unatafuta njia za kumfurahisha kwa urembo!!!!
VIVA ZOMBIEEEEEEEEE...............
Umuwowe nani?
Saluni za Kariakoo nenda wanafanya kwa nyuzi au za Upanga
Kama unataka kufanya kwa tweezer mwenyewe, ningekushauri walau mara moja upate professional help uone zinatakiwa ziwe na shape gani.
Kumbuka tu kuwa kizuri chajiuza lakini usisahau kuwa mzuri hajipambi 🙂