Kutinda Nyusi . . .

Kutinda Nyusi . . .

Dah, wapi naweza pata huduma hii

Kutinda na uzi ni bora inauma mara ya kwanza then unazoea. Ukitinda na uzi zinachelewa kuota hata zikiota zinaota kistaarabu
 
Umezoea hivi?

No-Eyebrows-Bad-Eyebrows.jpg

Khaaaaaa huyu kazeeka kuliko hata bibi yangu mzaa babu.
 
Kama kichwa cha miguu kinavyojieleza.

Sijawahi tinda nyusi, ila kutokana na evolution ninayopitia nataka nianze kutinda. Nasikia ukitinda kwa wembe jicho linakomaa na kutinda kwa uzi inauma kama nini.
Kuna wengine wanatinda kwa twiza(matamshi sio maandishi) haiumi sana na ni nzuri, ni wapi wanatoa huduma hiyo?

Afu mods, tuwekeeni basi ki sub-sub-sub forum cha urembo? Najua fani imevamiwa.

cc snowhite King'asti watu8

bora uwakumbushie.....niliwaomba wakakataa.......katu katu....hawataki.....
kuhusu wembe sikushauri....twiza nunua yako fanya mwenyewe....ni rahisi.....uzi kile kisauti cha....griiich griiich.....kinanifanya akili inaruka.....so chagua........


cc: Invisible........
 
Last edited by a moderator:
Sitajichoma jichoni kweli?

Wapi wanauza hizo twiza? Jamani urembo at 40+ ni kazi sana, nimekumbuka shuka asubuhi

bora uwakumbushie.....niliwaomba wakakataa.......katu katu....hawataki.....
kuhusu wembe sikushauri....twiza nunua yako fanya mwenyewe....ni rahisi.....uzi kile kisauti cha....griiich griiich.....kinanifanya akili inaruka.....so chagua........


cc: Invisible........
 
Katika vitu vilivyonishinda ni nyusi ,nina nyingi sana nikitinda leo kesho haya hapa juu yamesimama ,nimejitahidi wapi ,nimeacha ila sipendezi kabisa
 
Kama umeamua kutinda nyusi zingatia kujua shape ya uso wako, usije ukabugi ukaonekana kituko maana mtindo wa kutinda huendana na shape ya uso..!

Kama vipi bora uzichane na kitana then uzishape na kitana kwa juu waweza weka na ka jelly kwa mbaali ili zisichanguke, mie sitindi nyusi na sijawahi kutinda ila nikizichana kama nilivyokuelekeza mtu anaweza zani kuwa nimetinda!!!!
 
mie sana sana nitamwambie aziweke rilaksa zitokeze kwa mbele kama yule manyusi wa zamani kwenye magazeti...
Umenchekesha...teh teh
Relaxer kwenye nyusiii awe kama manyusi...hehehee
 
Back
Top Bottom