Umezoea hivi?
![]()
Kama kichwa cha miguu kinavyojieleza.
Sijawahi tinda nyusi, ila kutokana na evolution ninayopitia nataka nianze kutinda. Nasikia ukitinda kwa wembe jicho linakomaa na kutinda kwa uzi inauma kama nini.
Kuna wengine wanatinda kwa twiza(matamshi sio maandishi) haiumi sana na ni nzuri, ni wapi wanatoa huduma hiyo?
Afu mods, tuwekeeni basi ki sub-sub-sub forum cha urembo? Najua fani imevamiwa.
cc snowhite King'asti watu8
bora uwakumbushie.....niliwaomba wakakataa.......katu katu....hawataki.....
kuhusu wembe sikushauri....twiza nunua yako fanya mwenyewe....ni rahisi.....uzi kile kisauti cha....griiich griiich.....kinanifanya akili inaruka.....so chagua........
cc: Invisible........
kata nyusi weka picco wapendeza
Sitajichoma jichoni kweli?
Wapi wanauza hizo twiza? Jamani urembo at 40+ ni kazi sana, nimekumbuka shuka asubuhi
Sasa Konnie, mimi na urembo tena wa kutinda nyusi wapi na wapi jamani...
Kila siku nakwambia nkuoe hutaki , kwa nini lakini?
Hahahahahahaha,,mpe maujuzi!!Sasa Konnie, mimi na urembo tena wa kutinda nyusi wapi na wapi jamani...
Waulize mabinti zako huwa wanatinda sina mume
Hahahahahahaha,,mpe maujuzi!!
Umenchekesha...teh tehmie sana sana nitamwambie aziweke rilaksa zitokeze kwa mbele kama yule manyusi wa zamani kwenye magazeti...