mimi_wewe
Member
- Jul 27, 2014
- 70
- 17
App za kwenye simu huwa nzuri na hupendwa na watu kama ukipata wazo zuri la kuweka katika hiyonapp.
Sasabasi mimi nimepata wazo na kwa mujibu wa mawazo yangu na watu wangu wa karibu niliowashilikisha wameafikiana nami kuwa ni wazo zuri na app hiyo kama nitaifanikisha itapendwa sana na watu!
App hiyo nilishaikamilisha kwa kiasi kikubwa lakn changamoto kubwa ni kwamba ili ni publish kwenye play store au app store inahitaji kulipia kiasi flani cha pesa,lakn sifaham namna ya kulipia kwa mastercard au njia zingine maana nilishawahi kusikia ukikosea unaweza ibiwa pesa zako kwenye account
Changamoto nyingine ni kwamba sifahamu ni kwa namna gani mtu unaweza nufaika kwa kumiliki au kua na app yako binafsi.
KWA HIYO ANAYEWEZA KUNITATULIA HIZI CHANGAMOTO NAHITAJI MSAADA WENU WANAJAMVI.
Sasabasi mimi nimepata wazo na kwa mujibu wa mawazo yangu na watu wangu wa karibu niliowashilikisha wameafikiana nami kuwa ni wazo zuri na app hiyo kama nitaifanikisha itapendwa sana na watu!
App hiyo nilishaikamilisha kwa kiasi kikubwa lakn changamoto kubwa ni kwamba ili ni publish kwenye play store au app store inahitaji kulipia kiasi flani cha pesa,lakn sifaham namna ya kulipia kwa mastercard au njia zingine maana nilishawahi kusikia ukikosea unaweza ibiwa pesa zako kwenye account
Changamoto nyingine ni kwamba sifahamu ni kwa namna gani mtu unaweza nufaika kwa kumiliki au kua na app yako binafsi.
KWA HIYO ANAYEWEZA KUNITATULIA HIZI CHANGAMOTO NAHITAJI MSAADA WENU WANAJAMVI.