Kutendwa

dililia

New Member
Joined
Jan 5, 2014
Posts
4
Reaction score
1
Nilikuwa na mpenz tuliyependana sana lakini cku moja alipata safari......na alipoludi toka safari akanambia amepata mchumba na anataka kuolewa......je ingekuwa ww ungefanyaje
 
Haiwezekani hiyo wewe umeficha mambo weka yote kama unahitji faraja ya ushauri,sula la kufanya nini hilo ni la muhusika aliyetendwa
 
Nilikuwa na mpenz tuliyependana sana lakini cku moja alipata safari......na alipoludi toka safari akanambia amepata mchumba na anataka kuolewa......je ingekuwa ww ungefanyaje

Kwani wewe ulifanyaje?
 
Hahahahaha!
Such a lame question.
Sa hapo napo kuna cha kufanya?
 
Nilikuwa na mpenz tuliyependana sana lakini cku moja alipata safari......na alipoludi toka safari akanambia amepata mchumba na anataka kuolewa......je ingekuwa ww ungefanyaje

pole ndg,likuepukalo lina heri.hizo ni changamoto za maisha,hope zitakujenga.
 
Nilikuwa na mpenz tuliyependana sana lakini cku moja alipata safari......na alipoludi toka safari akanambia amepata mchumba na anataka kuolewa......je ingekuwa ww ungefanyaje

Ningerudi darasani kusomea lugha ya Kiswahili fasaha maana kama kuandika kwenyewe ndio hivi, habari gani kukiongea? Si ajabu mchumba aghairi na kuamua kwenda kwa mwingine!
 
Wewe ulimpenda sana ila yeye hakukupenda sana. Mngekuwa mnapendana sana asingekufanyia hivyo.
 
Nilikuwa na mpenz tuliyependana sana lakini cku moja alipata safari......na alipoludi toka safari akanambia amepata mchumba na anataka kuolewa......je ingekuwa ww ungefanyaje


....Tindikali...umeelewa...?? haaa
 
Jua mapenzi hayalazimishwi mimi ningeendelea na mambo yangu binafsi.
 
Ningemwacha akafie mbele ya nn kulazimisha usipopendwa? ni sawa na kubeba gunia la misumari.kisa cha kuchomwa ni nini. Life is very short. kwanza "if u lve smbody let him go,if he comes back he is your and he will stay forever':A S-devil4:
 
Unaachana naye na kutafuta mashine nyengine.
Nalog off
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…