Habari.
Jamani hiki ni kitendo mimi sikipendi na sifanyi hivyo kumtemea mate mwanamke wakati wa tendo. Binti usikubali kutemewa mate sehemu za siri ni uchafu na zalau, mate ni mazuri kwa romance lakini ya kitumiwa vibaya ni uchafu.
Mimi sitemei mate binti/mwanamke wewe je??