Kutangaza nia ya ubunge CHADEMA

Kutangaza nia ya ubunge CHADEMA

tondoli

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
207
Reaction score
51
Mimi ni mmoja wa watu wanaotaka kugombea ubunge kwa tiketi ya chadema, napenda kujua kama kuna ulazima wowote wa kutangaza nia mapema na kama ulazima huo upo, naomba kwa anayejua taratibu za kutangaza nia anisaidie ni taratibu zipi natakiwa kuzifuata. Asanteni
 
  • Thanks
Reactions: jme
jenga chama huko ulipo achana na habari za kutangaza nia
 
  • Thanks
Reactions: jme
jenga chama huko ulipo wakati ndo huu
 
Mimi ni mmoja wa watu wanaotaka kugombea ubunge kwa tiketi ya chadema, napenda kujua kama kuna ulazima wowote wa kutangaza nia mapema na kama ulazima huo upo, naomba kwa anayejua taratibu za kutangaza nia anisaidie ni taratibu zipi natakiwa kuzifuata. Asanteni

hujui taratinbu za chama alafu unataka kugombea ubunge is true that uko serious
 
Mimi ni mmoja wa watu wanaotaka kugombea ubunge kwa tiketi ya chadema, napenda kujua kama kuna ulazima wowote wa kutangaza nia mapema na kama ulazima huo upo, naomba kwa anayejua taratibu za kutangaza nia anisaidie ni taratibu zipi natakiwa kuzifuata. Asanteni
Nakushauri usome katiba ya chama inasemaje au nenda office ya kanda sehemu ulipo.. Chadema Kwanza
 
Acha.masihara we hujui taratibu za chaama.alaf unaomba ugombee? Hujui hata tawi.la chama kilicho karib yako nadhan
We gombea kwa chama.cha dovutwa ai act
 
MM SIJANZA KUJENGA CHAMA LEO,mafanikio unayoyaona yana mchango wangu mkubwa ila kwa bahati mbaya sina kiherehere cha watu kunijua, mm ni mtu wa matendo. Na kuuliza c ujinga
 
Huwezi ukawa umeshiriki kukijenga chama alafu hujui utaratibu wa cham kuhusu wagombea!!! Acha
Masihala maana chama ulichokitaja ni kikubwa mno na kina heshima yake nilitarajia uulize utaratibu huu labda kwa ACT Tanzania
 
.... Ni Rahis Mkuu, Mda Ukifika Wewe Chukua Tu Fomu Ujaze Upite Kwenye Mchujo. Kwasasa Jenga Jina Kwanza Kwa Kuhamasisha Wananchi Na Kushirikiana Nao Kwenye Shuguri Za Maendeleo..!
 
.... Ni rahis mkuu, mda ukifika wewe chukua tu fomu ujaze upite kwenye mchujo. Kwasasa jenga jina kwanza kwa kuhamasisha wananchi na kushirikiana nao kwenye shuguri za maendeleo..!
asante mkuu
 
huwezi ukawa umeshiriki kukijenga chama alafu hujui utaratibu wa cham kuhusu wagombea!!! Acha
masihala maana chama ulichokitaja ni kikubwa mno na kina heshima yake nilitarajia uulize utaratibu huu labda kwa act tanzania

we wasema
 
Kaka ulikua wajenga chama usichokiju taratibu zake...hakuna uchaguzi utakaokua na vituko kama wa mwakani
 
Unauliza JF ina maana ofisi za cdm hujui zilipo?
 
Ngoja nikupe njia.UNATAKA KUGOMBEA JIMBO GANI MKUU
 
Back
Top Bottom