Sina shaka na cheo cha huyu kamanda,kwa sasa ni District Traffic Officer pale mafinga,hakika sijui niseme alistahili kuwa RTO kabisa.
Huyu mwana inasemekana kabla ya kuwa DTO alikua OCS pale sadani,magenge ya wahuni,vibaka walinyoka,bila kumwaga damu,bila kusingiziwa mtu kesi kama tulivyozoea kwa baadhi ya makamanda,na sasa vibaka wale ,wezi wale wamkua nguvu kazi ya taifa sijui ana technic gani huyu jamaa salute kwake kwakwel.
Mafinga kwa sasa hajari nakuna,unapopita ule ukanda hakika katika speed limit utaona magari namna yanaenda kama yanasindikiza bi harusi,
Sio mtu wa kukaa ofisini ni mzee wa field sana kuobserve kitaalam tunaita physical management,
Sio kamanda wa kukimbilia kukupiga fine,kwake yeye elimu ndo kila kitu,utapigwa elimu hapo na madhara yake kiasi kwamba kama ni mgeni ukipita mara ya pili ww mwenyewe uta obey hata kwa kujistukia tu.
Ana vijana waje kabambe wa kutoa elimu kwenye mastend,vijiwe vya boda boda na bajaji hahahaha utapenda,hapo ndipo nilipojifunza kitu kikubwa sana kwamba kumbe Askari sio adui.
Hakika kama kweli nakamanda wengine watajifunza kitu kutoka kwa huyu jamaa tutakua na mapinduzi sana katika usalama barabarani.
Huyu mwana inasemekana kabla ya kuwa DTO alikua OCS pale sadani,magenge ya wahuni,vibaka walinyoka,bila kumwaga damu,bila kusingiziwa mtu kesi kama tulivyozoea kwa baadhi ya makamanda,na sasa vibaka wale ,wezi wale wamkua nguvu kazi ya taifa sijui ana technic gani huyu jamaa salute kwake kwakwel.
Mafinga kwa sasa hajari nakuna,unapopita ule ukanda hakika katika speed limit utaona magari namna yanaenda kama yanasindikiza bi harusi,
Sio mtu wa kukaa ofisini ni mzee wa field sana kuobserve kitaalam tunaita physical management,
Sio kamanda wa kukimbilia kukupiga fine,kwake yeye elimu ndo kila kitu,utapigwa elimu hapo na madhara yake kiasi kwamba kama ni mgeni ukipita mara ya pili ww mwenyewe uta obey hata kwa kujistukia tu.
Ana vijana waje kabambe wa kutoa elimu kwenye mastend,vijiwe vya boda boda na bajaji hahahaha utapenda,hapo ndipo nilipojifunza kitu kikubwa sana kwamba kumbe Askari sio adui.
Hakika kama kweli nakamanda wengine watajifunza kitu kutoka kwa huyu jamaa tutakua na mapinduzi sana katika usalama barabarani.