PastorPetro
Senior Member
- Feb 25, 2008
- 189
- 35
Mimi nilipitia JKT Opresheni Nguvu Kazi. Nilikuwa Mlale JKT. Kwa kweli najiuliza kwenye JKT ilinisaidia nini zaidi ya kupoteza mwaka wa maisha yangu. Tulikuwa tunalipa wananchi kwa kutusomesha A level eti? Nilishuhudia mabiniti wakinayayaswa kwa kuwa mboga ya maafande. Nimeona vijana waliojifanya eti wasomi wakisurubiwa hadi kujinyea. Wanasema Jeshi la Kujenga taifa, tulijenga nini?
Kuna mwanablogu Da Chemi ametoa mada kali kuhusu yaliyompata akiwa JKT. Swahili Time: Marudio - Miaka Baada ya tukio kaniomba Msamaha! Nasikia JKT inarudishwa mwakani. Vijana wamekuwa wengi mno sasa hayo makambi yatakuwa wapi? Hela ya kuwalisha itatoka wapi? Idadii ya vijana ni karibu mara 10 ya enzi zetu. Siwezi kuruhusu vijana wangu hasa binti zangu waende jeshini. Hapana.:yell:
Kuna mwanablogu Da Chemi ametoa mada kali kuhusu yaliyompata akiwa JKT. Swahili Time: Marudio - Miaka Baada ya tukio kaniomba Msamaha! Nasikia JKT inarudishwa mwakani. Vijana wamekuwa wengi mno sasa hayo makambi yatakuwa wapi? Hela ya kuwalisha itatoka wapi? Idadii ya vijana ni karibu mara 10 ya enzi zetu. Siwezi kuruhusu vijana wangu hasa binti zangu waende jeshini. Hapana.:yell: