Kutahiriwa utotoni na Kibamia

mangonjoli

Senior Member
Aug 29, 2012
154
109
Wiki iliyopita Nilimtahiri mwanangu wa miaka miwili kasoro. Chakushangaza wenyeji wangu huku mtwara wananilaumu eti nimemuwahi kumtaahiri mapema. Eti hii itasababisha mwanangu aje kuwa na uume mdogo ( Kibamia)

Na wengine wakanambia nisisubutu kumuingilia mke wangu mpaka mtoto apone eti nikiwa namuingilia mtoto atacherewa kupona . Je wadau hii imeakaaje? Au ni imani tu ambazo hazikubaliki kisayansi?
 
Huo ni ushirikina. Hivi wakati huu mtu unaweza kuishi kwa imani hizo? Waulize kisayansi inakuwaje?
 
juzi kuna babu wa miaka 79 ndio katahiriwa alikuwa anasubiria kibamia chake kiwe kama mnazi, haikuwa hivyo, na siku anaenda tahiriwa ilibidi tumuulize faza vipi, alisema tu kwamba wajukuu zangu, umri wangu umekwenda na sina siku nyingi haa duniani, ni aibu na kwa familia yangu na hasa wajukuu zangu, kama siku nimekufa watu waje kuniosha na kunikuta nipo katika hali kama hii...na tulipomuuliza kwanini hakulitoa lile gozi tangu kijana ndipo aliotueleza meengi yaliyohusiana na Imani kama hizo za kipuuzi
 
Jamii za watu wanaochelewa kutahiri watoto wao ni mara chache sana kusikia watu kutoka jamii hizo wakilalamika vibamia e.g wakurya, masai, wasukuma nk ukilinganisha na zile jamii zinazowahi kutahiri...! Hivyo tafakari na chukua hatua
 
Jamii za watu wanaochelewa kutahiri watoto wao ni mara chache sana kusikia watu kutoka jamii hizo wakilalamika vibamia e.g wakurya, masai, wasukuma nk ukilinganisha na zile jamii zinazowahi kutahiri...! Hivyo tafakari na chukua hatua
Nimewahi kusikia kwa daktari mmoja akishauri ni vizuri mtoto akakua kwanza.
Sijui wanadai kuna mishipa inaweza kusumbuliwa na kusababisha uume usikue.

Mimi pia naona ni vizuri tukaendelea kufuata tamaduni zetu,mtu unakua kwanza ndio 'unakatwa'
 
Ni kweli mkuu kibamia kitahusika hapo....ukitaka awe na dushe bwaku mpake mnyaa kwenye mshipa wa chini wa kichwa cha dushe....
 
Wiki iliyopita Nilimtahiri mwanangu wa miaka miwili kasoro. Chakushangaza wenyeji wangu huku mtwara wananilaumu eti nimemuwahi kumtaahiri mapema. Eti hii itasababisha mwanangu aje kuwa na uume mdogo ( Kibamia)

Na wengine wakanambia nisisubutu kumuingilia mke wangu mpaka mtoto apone eti nikiwa namuingilia mtoto atacherewa kupona . Je wadau hii imeakaaje? Au ni imani tu ambazo hazikubaliki kisayansi?
Hilo la kibamia ni kweli,hili la kupona sijui
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom