Kusoma UDSM ni dhamana

Hii zamani mkuu. Siku hizi watu wanaangalia program. Huwezi ukawa unesima socialogy UDSM na mwengine amesoma economics mzumbe alafu wew wa UDSM ukawa proud
 
Sio Kweli Mkuu
Cc😡GENTAMICINE
 
TUNAUZA SURA KWENYE MAGAMBA YETU BUT CHE MTEMA KUNI TUMEKIONA YANI SITAKI HATA KUPAKUMBUKA MSULI WA PALE NI KUKOMOANA TU .
 
Uliyo yasema baadhi yana ukweli kwa mfano watu kuwa na mawazo kuwa aliyesoma UDSM ni bora kuliko wengine kumbe Hamna kitu, ila ulipochemka ni pale unapogusia maisha baada ya Chuo hasa,utendaji kazi, maisha ya kila Siku, uchumi nk hapa umechemka zaidi ya maji kwenye moto wa gesi maana kwa uzoefu wangu katika utendaji product nyingi za UDSM ni hovyo kuliko vyuo vingine japo si wote, katika maisha pia hapa hakuna cha uDsm wala st nani...Bali ni ishu ya MTU binafsi
 
Saw tumekusikia Kama umesoma udsm
 
Huyu mtoa post anasifia chuo, watu hatuangalii chuo tunaangalia una nn kichwan kwako mambo ya chuo tunafyekelea mbali
 
Kuna wakati huwa naamua ku~drive through Mlimani nikumbushie enzi na kufurahia nature

~mazingira mwanana ukiwemo uoto mzuri
~Tumbiri wanaochukua vacation na kupiga supp. hata selfie unapiga nao fresh tu...utalii wa ndani.
~ Expectacular Nkurumah hall...icon ya maarifa
~ Breath taking streams and trenches...elimu ya utunzaji mazingira ktk vitendo.
~Historical residential halls...architectural history reference.
~Sporting at its mention...from goat racing to baseball,only at Mlimani gymkhana
~ Mlimani Primary school (University primary school)...an academic inspiration on safari ya elimu.
~Biggest academic and research library in EA and TZ...this attracts no flies but eager learners from nations
~Trustworthy Kiswahili learning center in EA...mind you for decades Kiswahili sanifu has been spreading from this honeycomb now TATAKI.
~The oldest varsity UDSM... "babaako ni babaako tu" Halafu baba hatukanwagi nye watoto.

UDSM ni Havard ya Bongo...UDSM hoiyee

UDSM alumnus N'yadikwa
 
Magufuli mwenyewe alikuwa na ndoto za kusoma Udsm mwishowe amefanikiwa kupata hadi doctorate.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…