Kusoma sayansi Lazima

Kusoma sayansi Lazima

prezdesho

Senior Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
150
Reaction score
79
Kwanza kabisa nimpongeze waziri wa elimu kazi yake nzuri anayoifanya katika sekta yaelimu.....

Siwezi kusema moja kwa moja ni kwauzuri gani kwasasa kwakuwa wizara hii ni kama kivuli amakitengo fulani ambacho kipo ndani ya TAMISEMI....Hii ni kwakuwa kwa sasa wizara hii imekuwa ikisimamia sera na utekelezaji wake lakini haina meno ya kurekebisha ndani ya utendaji yaani wizara ya elimu haihusiki tena na mwalimu kwani mwalimu yupo chini ya TAMISEMI,Wizara ya elimu haihusiki na wanafunzi kwani kwa sasa udahili,ubora na uchaguzi vinafanywa na mamlaka kamili ya TAMISEMI,wizara ya elimu haisimamii tena na walahaihusiki na miundombinu yote ya elimu kwani kwa sasa vipo chini ya TAMISEMI.

kwa maana hiyo wizara ya elimu ipo kwa ajili ya sera tu na utekelezaji wake lakini hatakama itajua lakini haina hakika WALIMU WANAMAZINGIRA GANI,CHANGAMOTO ZA ELIMU NA MAPUNGUFU YAKE na ndiyo maana sikushangaa nilipo msikia waziri akisema "MASOMO YA SAYANSI LAZIMA KWA SEKONDARI".

Siwezi kumlaumu waziri kwakuwa anatekeleza majukumu yake ya kuwa na sera itakayo endana na uchumi wa viwanda na hii ni kwakuwa hawamiliki waalimu hivyo hafahamu kiuhalisia(mbali na hiyo anayoletewa kwenye makaratasi) tunaupungufu kiasi gani cha walimu wa sayasnsi na je waliopo wapo kweli?

Lakini sambamba na hilo kwa hafahamu walimu wa sayansi wanakabiliana na changamoto zipi.

Kwa kuwa waziri shule hazipo chini yake hafahamu je zinachangamoto gani ya miundombinu sayansi.

Katika kujifunza kunakitu kinaitwa UTAYARI jambo ambalo lazima uwenalokabla ya kujifunza...na UTAYAR huu huwa unajengwa tokea kwenye elimu ya awali na msingi......

Swali elimu ya awali na msingi kwa TANZANIA huwa watu hawaijali kabisa ndiyo maana usishangae mwalimu wa hesabu huyo huyo kiswahili,uraia,stadi za kazi, tehama n.k hapo unategemea mtoto anaandaliwa kujua hesabu na mwalimu wa hesabu au wasomogani....

Tatizo siyo neno lazima tatizo ni je maandalizi yake huku chini tangu awali na msingi yapoje
 
na mtihani wa kidato cha pili hautakua na mchujo na wanafunzi wote eti wasome masomo yote pindi wafikapo kidato cha tatu
 
Hii sasa ni elimu ya mwendokasi hainaga kufeli ni mwendo kuhesabu miaka tu
 
Kwanza kabisa nimpongeze waziri wa elimu kazi yake nzuri anayoifanya katika sekta yaelimu.....
Siwezi kusema moja kwa moja ni kwauzuri gani kwasasa kwakuwa wizara hii ni kama kivuli amakitengo fulani ambacho kipo ndani ya TAMISEMI....Hii ni kwakuwa kwa sasa wizara hii imekuwa ikisimamia sera na utekelezaji wake lakini haina meno ya kurekebisha ndani ya utendaji yaani wizara ya elimu haihusiki tena na mwalimu kwani mwalimu yupo chini ya TAMISEMI,Wizara ya elimu haihusiki na wanafunzi kwani kwa sasa udahili,ubora na uchaguzi vinafanywa na mamlaka kamili ya TAMISEMI,wizara ya elimu haisimamii tena na walahaihusiki na miundombinu yote ya elimu kwani kwa sasa vipo chini ya TAMISEMI.....kwa maana hiyo wizara ya elimu ipo kwa ajili ya sera tu na utekelezaji wake lakini hatakama itajua lakini haina hakika WALIMU WANAMAZINGIRA GANI,CHANGAMOTO ZA ELIMU NA MAPUNGUFU YAKE na ndiyo maana sikushangaa nilipo msikia waziri akisema "MASOMO YA SAYANSI LAZIMA KWA SEKONDARI".......

Siwezi kumlaumu waziri kwakuwa anatekeleza majukumu yake ya kuwa na sera itakayo endana na uchumi wa viwanda na hii ni kwakuwa hawamiliki waalimu hivyo hafahamu kiuhalisia(mbali na hiyo anayoletewa kwenye makaratasi) tunaupungufu kiasi gani cha walimu wa sayasnsi na je waliopo wapo kweli?....

Lakini sambamba na hilo kwa hafahamu walimu wa sayansi wanakabiliana na changamoto zipi......
Kwa kuwa waziri shule hazipo chini yake hafahamu je zinachangamoto gani ya miundombinu sayansi...

Katika kujifunza kunakitu kinaitwa UTAYARI jambo ambalo lazima uwenalokabla ya kujifunza...na UTAYAR huu huwa unajengwa tokea kwenye elimu ya awali na msingi......

Swali elimu ya awali na msingi kwa TANZANIA huwa watu hawaijali kabisa ndiyo maana usishangae mwalimu wa hesabu huyo huyo kiswahili,uraia,stadi za kazi,tehama n.k hapo unategemea mtoto anaandaliwa kujua hesabu na mwalimu wa hesabu au wasomogani....

Tatizo siyo neno lazima tatizo ni je maandalizi yake huku chini tangu awali na msingi yapoje
Wewe pia ni mvivu wa kufikiri kwa kusapoti vitu ambavyo hujakaa na kuvitafakari ...! Kwangu mm naona huyu waziri hajafanya lolote kwa sababu hakuna sababu za msingi kumrundikia mzigo mkubwa wa masomo ilihali unapenda kusoma masomo ya aina Fulani ili aje asomee fani inayoendana na masomo husika kwa fan take...! Kumlazimisha MTU kusoma masomo yote ni kutaka kufanya elimu iendelee kua ngumu hasa kwa wenye kipato cha chini, na wasioweza soma tuition. Kwa maana shule nyingine has a za kata zinahitaji juhudi ya mwanafunzi...!
Mimi binafsi nadhani hii ni roho mbaya tu ..! Ikumbukwe hatuwez kufaulu wote kama wazir wa elimu alivyofauru...!
 
Binafsi sijaona haja ya kupongeza wizara ya elimu kwangu ningewalaumu kwa kuvuruga elimu yetu mpaka tunakoelekea haijulikani. Kwa sijaona mantiki ya kurundikia mwanafunzi msururu wa masomo mwisho alichojifunza mtoto huyu haina application katika kazi na maisha ya kila siku. Kingine nilichokiona mbaya zaidi ni kufutwa kwa mtihani wa kidato cha pili. Hapo naomba nieleweke kwamba mtihani utaletwa shuleni kama nakala then shule itaupeleka stationary kutoa copy then ufanyike na utahihishwa ngazi ya kata na matokeo hayana athari kwa watahiniwa. Sasa tutegemee sifuri za kutosha kidato cha nne
 
huyu waziri wa mwendokas afadhali hata mulugo
unatka kulazimisha masomo ya science wakat huna hata nyenzo?
huyu kwel proffessor? achunguzwe elimu yake yaelekea ni ya mwendo kasi
baada ya kuijenga elimu yeye ndo anabomoa elimu
 
Nchi yetu haiwezi kuwa ya kisayansi kwa kuwalazimisha watu wasiojiweza kusoma sayansi wakati hakuna maabara
 
Duhh inamaana hata GPA kwenda division siyo kazi
 
Haya mawazo huwa wanatoa kwa kuzingatia tathmini gani? Afadhali kungekua hata kuna tafiti imefanyika ila ma tamko ya hisia mwisho wa siku tunaingiza vizazi vyetu kwenye giza lingine huku dunia inaendelea kubadilika.
 
Back
Top Bottom