Veronica7598
JF-Expert Member
- Jan 2, 2017
- 361
- 409
Habarini wapendwa,
Naomba tushauriane kuhusu maisha, hivi kufanya biashara na kusoma kipi ni bora kwa maisha haya?
Nilimaliza form 4, miaka 7 iliyopita nilipata 3 ila comb hazijabalance. Nikaenda college nikachukua diploma miaka mitatu nikamaliza, lakini sijapata kazi mpaka leo. Sasa mr, ananiambia jiandae mwakani unarudi shule na ananiambia nibadilishe coz, maana coz niliyoisoma ni ngumu sana kwa level zangu kupata kazi.
Nawaza umri huu niende nikaanze certificate nitamaliza lini jamani, nikamwambia naomba nifanye biashara ambayo nitaweza kuisimamia akasema biashara ni sawa utafanya lakini nataka uende shule akaanze certificate mpaka degree kama Mungu atakujaalia.
Nikajaribu kumuhoji mbona umenijia na mawazo magumu hivi. Anasema maisha ni mafupi sijui kesho tutaamkaje ikitokea amekufa basi niwe na elimu ambayo inaweza ikanisaidia kulea famila japokua tupo vizuri kiuchumi lakini kama sina elimu nitajikuta nikitumia mali vibaya na kufanya familia yake iteseke.
Kwa kweli amenipa mawazo sana, nisijue cha kufanya hiyo yote imetokana na Eng: Mwenzake amefariki kwa ajali na kumuacha mkewe akiwa na watoto wanne alafu mkewe hajui kusoma wala kuandika.
Embu nipeni ushauri ndugu zangu umri huu, na nina watoto wawili kwenda kuanza certificate mpaka nimalize ni leo kweli?
Naomba tushauriane kuhusu maisha, hivi kufanya biashara na kusoma kipi ni bora kwa maisha haya?
Nilimaliza form 4, miaka 7 iliyopita nilipata 3 ila comb hazijabalance. Nikaenda college nikachukua diploma miaka mitatu nikamaliza, lakini sijapata kazi mpaka leo. Sasa mr, ananiambia jiandae mwakani unarudi shule na ananiambia nibadilishe coz, maana coz niliyoisoma ni ngumu sana kwa level zangu kupata kazi.
Nawaza umri huu niende nikaanze certificate nitamaliza lini jamani, nikamwambia naomba nifanye biashara ambayo nitaweza kuisimamia akasema biashara ni sawa utafanya lakini nataka uende shule akaanze certificate mpaka degree kama Mungu atakujaalia.
Nikajaribu kumuhoji mbona umenijia na mawazo magumu hivi. Anasema maisha ni mafupi sijui kesho tutaamkaje ikitokea amekufa basi niwe na elimu ambayo inaweza ikanisaidia kulea famila japokua tupo vizuri kiuchumi lakini kama sina elimu nitajikuta nikitumia mali vibaya na kufanya familia yake iteseke.
Kwa kweli amenipa mawazo sana, nisijue cha kufanya hiyo yote imetokana na Eng: Mwenzake amefariki kwa ajali na kumuacha mkewe akiwa na watoto wanne alafu mkewe hajui kusoma wala kuandika.
Embu nipeni ushauri ndugu zangu umri huu, na nina watoto wawili kwenda kuanza certificate mpaka nimalize ni leo kweli?