Kusoma elimu ya sheria

Kusoma elimu ya sheria

Myombes

Member
Joined
Mar 27, 2025
Posts
5
Reaction score
4
Wakuu nakuja kwenu kuomba msaada wa jinsi ya kujiunga na chuo cha SHERIA, LAW SCHOOL OF TZ. Mambo ninayohitaji kuyafaamu ni

1. Kama naweza kusoma online
2. Gharama za kujiunga, ada na mahitaji yanayohusishwa.
Baadhi ya taarifa nimezipata kupitia tovuti yao lkn nimebaki na maswali hayo.

Elimu yangu ni kidato cha 6 miaka 11 iliyopita pia nina shahada ya utawala wa utalii na hotel, kimataifa.

Kwa sasa nawaza kujiendeleza kielimu na shahuku yangu ni kusomea SHERIA hivyo naomba msaada juu ya vipengere tajwa hapo juu na kama niko na sifa ya kujiunga.

Makazi ni mwanza hivyo access ya kufika chuo na kupata taarifa hizo ni changamoto kutokana na umbali na ndy maana nimeamua kutumia jukwaa hili.

Naamini nitapata usaidizi, kila lililo jema kwenu.
 
Mkuu kusoma law school of TZ postgraduate diploma (ili uwe wakili) unahitajika kuwa na degree ya sheria (LL.B.). Ada yao ni 2.9M. Kwa maelezo yako naona hujatimiza vigezo.

Hata hivyo wanayo program ya kufundisha paralegals ambayo wewe unaweza kufaa.

Wewe ulitaka kusoma law school ili uwe nani?
 
Mkuu kusoma law school of TZ postgraduate diploma (ili uwe wakili) unahitajika kuwa na degree ya sheria (LL.B.). Ada yao ni 2.9M. Kwa maelezo yako naona hujatimiza vigezo.

Hata hivyo wanayo program ya kufundisha paralegals ambayo wewe unaweza kufaa.

Wewe ulitaka kusoma law school ili uwe nani?
Ahsante sana mkuu, lengo ni kusoma course ya MAFUNZO YA USAIDIZI WA SHERIA NGAZI YA CHETI (NTA LEVEL 4).
 
Back
Top Bottom